carmel
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 2,836
- 262
habari zenu..
Nina agency ambayo nimekuwa nikifanyia kazi nyumbani for sometimes now..ila imeonekana ni vema nikawa na office. Hivyo naomba kufahamu kama kuna mtu anaweza kuwa na space ya kushare officin kwake? Tutakubaliana cost sharing. Nahitaji cchumba kimoja tu. Au naweza kupata chumba maeneo ya sinza, mwenge, kijitonyama, survey?
Nina agency ambayo nimekuwa nikifanyia kazi nyumbani for sometimes now..ila imeonekana ni vema nikawa na office. Hivyo naomba kufahamu kama kuna mtu anaweza kuwa na space ya kushare officin kwake? Tutakubaliana cost sharing. Nahitaji cchumba kimoja tu. Au naweza kupata chumba maeneo ya sinza, mwenge, kijitonyama, survey?