Search results

  1. T

    Kasisi afariki kwa ugonjwa wa Ebola

    Viongozi wa bongo hawawezi kushughulikia ebola,wanawaza urais wa 2015,nchi ya wajinga sana hii.
  2. T

    How can i be a good Journalist?

    You need not to question anyboby on how to being a good journalist,being a superior journalist does not require somebody to bear special experience,the only and only thing is to have a fresh unique natural inborn talent,and it seems you already have it,I personally have never ever undergone any...
  3. T

    Nimedukua simu ya mke wangu, Simu zetu zina siri nzito, nakufa mimi

    huyu mkeo hana adabu kabisa,hebu nitumie namba yake pm nimpe onyo kali.
  4. T

    Siamini kama ni kweli

    Si kweli,tabia hutegemeana na mtu kwa mtu,au familia kwa familia,kulingalina na malezi ya mwanamke alivyolelewa au 'genes'za familia husika,tabia haihusiani na umbo
  5. T

    Nifanyeje ili mpenz wangu anisamehe?

    Kama angekuwa anakupenda na wewe angekusamehe,ila tatizo ni kwamba ni wewe tu ndo umempenda,wewe unashindwa kutumia akili ya kuzaliwa,kubaini kuwa mpenz wako atakuwa na mwanaume mwingine anayempenda na sisi wewe,angekuwa anakupenda wala usingepoteza muda kuja JF kuomba ushauri,mapenz ni kitu cha...
  6. T

    Natafuta mwanamke mrembo,nimpe penzi la kipekee ambalo hajawahi kuona kamwe

    habari zenu wana JF? hakika hakuna jukwaa tamu kama hili,ukiwa JF unakuwa dunia nyingine on the other hand,jamani nataka ajitokeze mwanamke mrembo mwenye umri kuanzia miaka 18 hadi 35 mwisho,sichagui rangi,dini,kabila wala elimu,awe mrembo wa aina yoyote,mimi umri wangu ni miaka 32,mweusi,si...
  7. T

    vp kama kandege ka malaysia kangepotea na kaserikali kote ka ccm?

    Bandugu,huku kijijini kwetu tunanchi twa huku tumeanza kukachukia ka ccm,tuzee tunashinda na njaa,tukiugua hatuna ela ya kwenda sipitali kutibiwa,sasa tunasema ya kwamba asavali kale kandege ka malaysia kangepotea na kaserikali kote ka ccm,ili vinanchi vipate pumua wajameni,labuda na kababuseya...
  8. T

    Picha: Ephrahim Kibonde wa Clouds FM atiwa nguvuni

    kajinga sana haka,kalikuwa kamekunywa makonyagi yake,halafu kajiona kasuper staha.
  9. T

    Nimewashangaa sana wana Jf wa Dar kwa unafiki wao.

    Hakuna vya kuwataka radhi nyie,mie nika handsome sema niko kijijini na kadar es salaam kako mbali mno kukafikia,tatizo tusura twenu ni tubaya ndo maana muliogopa kwenda si mukubali tu?
  10. T

    Picha: Ephrahim Kibonde wa Clouds FM atiwa nguvuni

    Hehehehe,umenifurahisha sana kamkuu na kweli wajue kuwa kaukawaa hakuna wa kukazuia safi sana kamkuu.
  11. T

    Uwanja wa Taifa: Kijana aruka ukuta na kumng'ang'ania Mwigulu Nchemba

    wajameni haka kamwigulu si ndiyo kale kauaji na kapanga mipango ya kuua wenzake? asee hutu tu ccm hata hapa kijijini wameanza kutuchukia,tumetesa watu mno,sasa nashangaa haka kamwigulu eti leo kameanza kupendwa wakati kamejaa damu za watu kwenye kwenye kamwili kake,eti kawe karais,kamtawale...
  12. T

    wajameni,hadithi za Truth guy zipo jukwaa gani? nimezitafuta weeeeee...lakini wapi.

    ni kweli bora kamjamaa kaihamishe kwenye magazeti hapo itakuwa nzuri na kakitoa kakitabu katauza sana aseeh!
  13. T

    wajameni,hadithi za Truth guy zipo jukwaa gani? nimezitafuta weeeeee...lakini wapi.

    wanandugu zangu humu jf hamjambo? nimeipenda sana jf maana hata kama una mawazo ukiingia tu humu tayari unakuwa kama umekunywa tu bia kadhaa twa kuchangamsha akili,wajameni mie nimejiunga majuzi tu na jf na nikakutana na hadithi niliyoipenda sana mwandishi akiwa ni Truth guy,hadithi inasema...
  14. T

    Hatari: Nimenusurika kifo

    acha mambo ya ajabu mkuu,mwenzetu katuhabarisha alivyonusurika na kifo,wewe tena unaleta mzaha,jamani si kila kitu ni mzaha.
  15. T

    Ni rahisi kutajirika kuliko kupata mwanamke sahihi

    Ni tukio ambalo kamwe sitalisahau katika maisha yangu. Mke wangu Maria Benard, umenivumilia kwa mambo mengi sana kiasi kwamba a fake wife can't stand those episodes. Wewe ni mrembo kupindukia,kuliko mtu yeyote anavyoweza fikiri, ila na hayo yote umejionyesha kiasi gani wewe ni mwanamke, sioni...
  16. T

    Watanzania Wenye UKIMWI wagoma kurudi Tanzania

    Acheni ujinga,wakae bongo watakula nini?
  17. T

    Kagame Hotel iliyopo Ubungo

    Kama mnakwazika,nyie kama TISS si muende na mumpe amri na si ombi afute jina hilo haraka,anawezaje kuandika jina la mtusi mjinga yule akaacha jina safi la Nyerere? tena afute haraka,vinginevyo tuta.... hiyo hotel yake.
  18. T

    Ndugu zangu sio kila kinachonga'aa ni dhahabu majuu sio mchezo

    Hata iweje,majuu bado ni bora kuliko bongo,kodi wanayolipa inaonekana kwenye maendeleo na nyingine wanasaidia wajinga wa africa,hapa bongo hata ulipeje kodi bado nchi imechoka tu,so majuu ni bora sana,hapa ma expat wanafanyakazi hata kodi hawalipi,kazi ya magamba ni kuonea machinga tu,hapa...
  19. T

    Jamhuri: Mbasha alibaka ndani ya gari

    Mahakama ni za ki.pumba.vu na serikali ni ya ki.jin.ga sana,tangu lini mtu akabaka mara 3? au alipiga bao 3? a nonsense case,huyu jamaa watamfunga kweli,maana wamempania sana,eti alibaka mara 3,mbakwaji alikuwa anaenda kubakwa tena na tena? Tz nchi ya hovyo sana.
  20. T

    Msaada wa kuchapisha kitabu

    Nenda business printers,wale watoaji wa magazeti ya majira,ukifika hapo,mtafute mr msami,au kombe,wao mtakubaliana jinsi ya kuchapisha,at the end watakupa percent ya uandishi baada ya kitabu kutoka.
Back
Top Bottom