You need not to question anyboby on how to being a good journalist,being a superior journalist does not require somebody to bear special experience,the only and only thing is to have a fresh unique natural inborn talent,and it seems you already have it,I personally have never ever undergone any...
Si kweli,tabia hutegemeana na mtu kwa mtu,au familia kwa familia,kulingalina na malezi ya mwanamke alivyolelewa au 'genes'za familia husika,tabia haihusiani na umbo
Kama angekuwa anakupenda na wewe angekusamehe,ila tatizo ni kwamba ni wewe tu ndo umempenda,wewe unashindwa kutumia akili ya kuzaliwa,kubaini kuwa mpenz wako atakuwa na mwanaume mwingine anayempenda na sisi wewe,angekuwa anakupenda wala usingepoteza muda kuja JF kuomba ushauri,mapenz ni kitu cha...
habari zenu wana JF? hakika hakuna jukwaa tamu kama hili,ukiwa JF unakuwa dunia nyingine on the other hand,jamani nataka ajitokeze mwanamke mrembo mwenye umri kuanzia miaka 18 hadi 35 mwisho,sichagui rangi,dini,kabila wala elimu,awe mrembo wa aina yoyote,mimi umri wangu ni miaka 32,mweusi,si...
Bandugu,huku kijijini kwetu tunanchi twa huku tumeanza kukachukia ka ccm,tuzee tunashinda na njaa,tukiugua hatuna ela ya kwenda sipitali kutibiwa,sasa tunasema ya kwamba asavali kale kandege ka malaysia kangepotea na kaserikali kote ka ccm,ili vinanchi vipate pumua wajameni,labuda na kababuseya...
Hakuna vya kuwataka radhi nyie,mie nika handsome sema niko kijijini na kadar es salaam kako mbali mno kukafikia,tatizo tusura twenu ni tubaya ndo maana muliogopa kwenda si mukubali tu?
wajameni haka kamwigulu si ndiyo kale kauaji na kapanga mipango ya kuua wenzake? asee hutu tu ccm hata hapa kijijini wameanza kutuchukia,tumetesa watu mno,sasa nashangaa haka kamwigulu eti leo kameanza kupendwa wakati kamejaa damu za watu kwenye kwenye kamwili kake,eti kawe karais,kamtawale...
wanandugu zangu humu jf hamjambo? nimeipenda sana jf maana hata kama una mawazo ukiingia tu humu tayari unakuwa kama umekunywa tu bia kadhaa twa kuchangamsha akili,wajameni mie nimejiunga majuzi tu na jf na nikakutana na hadithi niliyoipenda sana mwandishi akiwa ni Truth guy,hadithi inasema...
Ni tukio ambalo kamwe sitalisahau katika maisha yangu. Mke wangu Maria Benard, umenivumilia kwa mambo mengi sana kiasi kwamba a fake wife can't stand those episodes.
Wewe ni mrembo kupindukia,kuliko mtu yeyote anavyoweza fikiri, ila na hayo yote umejionyesha kiasi gani wewe ni mwanamke, sioni...
Kama mnakwazika,nyie kama TISS si muende na mumpe amri na si ombi afute jina hilo haraka,anawezaje kuandika jina la mtusi mjinga yule akaacha jina safi la Nyerere? tena afute haraka,vinginevyo tuta.... hiyo hotel yake.
Hata iweje,majuu bado ni bora kuliko bongo,kodi wanayolipa inaonekana kwenye maendeleo na nyingine wanasaidia wajinga wa africa,hapa bongo hata ulipeje kodi bado nchi imechoka tu,so majuu ni bora sana,hapa ma expat wanafanyakazi hata kodi hawalipi,kazi ya magamba ni kuonea machinga tu,hapa...
Mahakama ni za ki.pumba.vu na serikali ni ya ki.jin.ga sana,tangu lini mtu akabaka mara 3? au alipiga bao 3? a nonsense case,huyu jamaa watamfunga kweli,maana wamempania sana,eti alibaka mara 3,mbakwaji alikuwa anaenda kubakwa tena na tena? Tz nchi ya hovyo sana.
Nenda business printers,wale watoaji wa magazeti ya majira,ukifika hapo,mtafute mr msami,au kombe,wao mtakubaliana jinsi ya kuchapisha,at the end watakupa percent ya uandishi baada ya kitabu kutoka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.