Khaleed Shaban
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 399
- 58
Habar zenu wana jf,naombeni ushauri kwani nimegombana na mpenz wangu ambae nampenda sana lakini kila nnapomuomba msamaha wala ataki kunisikiliza so nifanyeje ili tuwe kama zamani kiukweli nampenda sana na sitaki nimkose