ya kuua wapinzani wake!.....alafu anamsifia eti mzuri....?mpaka kaniogopesha!Mchapakazi gani?
Ya mkinga m1 wa kule Mafinga Iringa anaitwa DEMBE,
na ile royal kibadamo ya pale ubungo jirani ya hostel za chuo ni ya mkinga piaKumbe ya Mkinga, du karibia ataibadilish jina soon.
hilo ni jina tu Kagame halina uhusiano na raisi kagame. mwenyewe namfahamu na nakaq nae karibu
Ni ya rishiwani hiyo
Wewe Mtutsi utakuwa huna hakili kama siyo akili! Umaarufu Wa Kagame umeanza lini hapa Tanzania?Wakuu, Nimepita Ubungo Nikiwa Naenda Kwenye Mdahaho Wa Katiba, Nyuma Ya Ubungo Plaza Nikaona Hotel Moja Nzuri Inaitwa Kagame Hotel....... Naomba Niulize Kama Hii Hotel Ni Ya Kamanda Mchapakazi Kagame Mwenyewe Au Ni Jina Tu Mtu Kaandika Kupata Wateja Kwavile KAGAME Wote Tunajua Ni Rais Mzuri Na Maarufu Sana Hapa Tanzania Na Dunian Kote
kama unamfahamu mwambie abadilishe hilo, anaikwaza serikali anatukwaza usalama wa taifa.
Inawezekana kwani kaka yake anauankila mtu anayemuona anamzidi upeo.Hivi ni kwa nini akina Paulo wako hivyo!!ni wabishi na hawapendi mambo ya wenzaoni ya mdogo wake alishindwa kujenga kwao kwa kumhofia kaka yake
na ile royal kibadamo ya pale ubungo jirani ya hostel za chuo ni ya mkinga pia
King'asti bwana kwa majibu ya mkato utafikiri kamekatwa kichwa!!
Khaa nasikia Kigali pia ipo Slaa hotel. Nimesikia tu
na ile royal kibadamo ya pale ubungo jirani ya hostel za chuo ni ya mkinga pia
Na MIC Hotel iliyopo karibu na Kibadamo ni ya Mkinga, pia katibu na pale IPO nyingine inaitwa Royal Njombe nayo ni ya Mkinga
Khaa!! Mie nimesikia tu :cool2:Hivi wewe ni mwendawazimu?