Search results

  1. J

    Nilichojifunza kuhusu ajira za mitandaoni

    Hata barua zenyewe nina uhakika hawazisomi kabisa yani. Nahisi zinakwenda moja kwa moja kwenye dustbin
  2. J

    Nilichojifunza kuhusu ajira za mitandaoni

    Mtu aliyewahi kusota kutafuta ajira tu ndio anaeweza kuelewa
  3. J

    Natamani kujua, Mwenyekiti wa Jimbo la jamhuri ya Muungano wa Tanzania anaitwa nani?

    Natamani kujua, Mwenyekiti wa Jimbo la jamhuri ya Muungano wa Tanzania anaitwa nani? Jamani hili swali limenishinda. Nisaidieni.
  4. J

    Notes za secondary (pdf) bei nafuu sana

    Tunakupa Notes za secondary zilizo katika format ya PDF kwa bei nafuu sana. 1. Notes tumeziandaa wenyewe. 2. Tumezingatia syllabus katika kuziandaa kwa hiyo Topic zote zipo. 3. Kwa upande wa Geography na Biology michoro, diagram na picha zote zipo kukufanya uelewe kirahisi sana masomo hayo. 4...
  5. J

    Nilichojifunza kuhusu ajira za mitandaoni

    Swali zuri sana boss. Unajua sisi ambao hatuna experience, linapokuja suala la salary huwa hatuna ujanja sana kwenye mazungumzo maana hatuwezi kudai mshahara wa mtu mwenye experience. Na wenyewe huwa wanatuchukua kwa sababu wanajua hatuwezi kudai hela nyingi. Mshahara sio ule nilioutarajia...
  6. J

    Nilichojifunza kuhusu ajira za mitandaoni

    Nimekujibu boss labda uulize tena
  7. J

    Nilichojifunza kuhusu ajira za mitandaoni

    Ndugu yangu, kuna watu wazo la kumjali mtu mwingine hawanaga kabisa. Wao wanachoona ni kwamba wapate wanachokitaka basi. Ila inakera sana.
  8. J

    Nilichojifunza kuhusu ajira za mitandaoni

    Yawezekana ikawa fursa ya ajira
  9. J

    Nilichojifunza kuhusu ajira za mitandaoni

    Kwa hapo sijajua labda mtu mwingine aje atusaidie kwenye hilo suala!
  10. J

    Nilichojifunza kuhusu ajira za mitandaoni

    Ndio kwa upande wangu mimi nimeona magroup ya ajira kuna baadhi nimeona unatakiwa utoe angalau kama sio 2000 basi 3000 ili ujiunge. Ila yakujiunga BURE nayo yapo pia!
  11. J

    Nilichojifunza kuhusu ajira za mitandaoni

    Huwa wana fanya kwa sababu mbili. 1. Huwa wanafanya ku-promote biashara yao. Wanajua wakisema wanahitaji wafanya kazi basi watatengeneza awareness flani katika jamii kuwahusu. 2. Wanafanya ili kutimiza sheria na taratibu. Naskia (sijafanya utafiti) wanatakiwa na sheria na taratibu kutangaza...
  12. J

    Nilichojifunza kuhusu ajira za mitandaoni

    Nakuja PM, tuongee mawilo matatu
  13. J

    Nilichojifunza kuhusu ajira za mitandaoni

    Historia na kiswahili kaka. Na wewe ni mwalimu ?
  14. J

    Nilichojifunza kuhusu ajira za mitandaoni

    Mtu anaweza kujiunga na group lolote lile, magroup yapo mengi sana. Kuna ajirachap, ajira na biashara, uwanja wa ajira. Ila mimi nimejiunga kwenye ajirazone maana wao hawakusema kwamba kuna kutoa hela kujiunga kwenye group lao.
  15. J

    Nilichojifunza kuhusu ajira za mitandaoni

    Asante boss. Mi mwenyewe sijamuelewa huyo mdau, maana mi nilichofanya ni kushare experience yangu ya kutafuta ajira.
  16. J

    Nilichojifunza kuhusu ajira za mitandaoni

    Asante sana. Ajira zinapatikana, tusikate tamaa
  17. J

    Nilichojifunza kuhusu ajira za mitandaoni

    Mimi ni miongoni mwa watu ambao wamehangaika sana kutafuta ajira. Nimekaa miaka 2 mtaani mpaka nilipokuja kupata ajira mwaka huu. Kuna websites huwa zina matangazo ya ajira. Sitaki kuzitolea mfano maana sitaki kuchafua website yoyote. Na lengo la hii post sio kuchafua website yoyote ila kushare...
  18. J

    Mitumba inapatikana wapi hapa Kahama?

    Asanteni nyote mliotumia muda wenu kunipa ushauri. Mmenipa mwanga kwa kweli.
Back
Top Bottom