Mimi ni miongoni mwa watu ambao wamehangaika sana kutafuta ajira. Nimekaa miaka 2 mtaani mpaka nilipokuja kupata ajira mwaka huu.
Kuna websites huwa zina matangazo ya ajira. Sitaki kuzitolea mfano maana sitaki kuchafua website yoyote. Na lengo la hii post sio kuchafua website yoyote ila kushare tu kile ambacho mimi nimejifunza katika kutafuta ajira. Katika post hii sizungumzii ajiraportal. Binafsi niseme nina imani sana na ajira portal. Japo mimi sijawahi pata ajira kupitia ajira portal ila nawafahamu watu waliopata ajira kupitia ajira portal. Sizungumzii ajira za serikali zinazotangazwa ajira portal.
Nazungumzia website nyingine za ajira (ambazo zinatangaza ajira kutoka private sector). Website hizi huwa zina matangazo ya ajira kutoka kampuni kubwa za hapa nchini na katika matangazo hayo huwa inaelekezwa mpaka jinsi ya kutuma maombi, lakini nilichokiona (kwa upande wangu) matangazo haya huwa yanawekwa kutimiza wajibu tu.
Inasemekana kwamba, taratibu zinawataka waajiri watangaze ajira mtandaoni (kwenye websites) kwa hiyo baadhi ya waajiri (sio wote, ila asilimia kubwa) hutangaza kwa lengo la kutimiza wajibu tu, lakini nafasi inakuwa imeshazibwa tayari. Kwahiyo tunatuma maombi tukijua maombi yetu yatasomwa lakini hilo suala halitokei kutokana na kwamba nafasi imeshapata mtu tayari.
kwahiyo nilichojifunza baada ya kutuma sana maombi kwenye ajira zinazotangazwa kwenye websites za ajira na kutoitwa hata interview moja ni kwamba: ni ngumu sana kupata ajira kwa njia ile.
Niia gani nimeitumia kupata ajira mwaka huu?
Nimetoka mkoa niliopo nikaja Arusha kwa rafiki yangu ambae nilisoma nae chuo. Nikiwa hapa nikashauriwa nijiunge na Instagram na kufollow Page za ajira za Instagram, nikajiunga na magoup yao ya whatsApp. Basi baadhi ya watu wakawa wanashare ajira mbali mbali. Baadhi ya ajira ukipiga simu unakuta haipokelewi, nyingine haipatikani ila nyingine anapokea anakwambia kwamba mtu kashapatikana. Nikiwa kwenye group ikatumwa ajira ya ualimu kutoka Steps Academy. Nikapiga nikaambiwa nipeleke vyeti nikapeleka nikasubiri kuitwa kwa ajili ya interview. Niseme tu wala sikuamini kama ntaitwa, ila niliitwa. nikafata utaratibu wao wa interview, mwishowe nikapata. (mimi nimesoma ualimu)
Ajira nyingi zinatangazwa ila hazitufikii kwa sababu hatutaki kutoka vijijini tulimozaliwa na kusoma. Si lazima utoke huko uliko. Unaweza kuchukua simu yako, ukaja hapa Jamiiforums ukatafuta watu wanaotafuta ajira kama yako mkawa mnapeana habari na mwishowe mkaunda group mkawa mnashea taarifa za nafasi za ajira, ukajikuta umeshapata ajira kwa njia hiyo.
Kama unaona kazi kufanya hivyo nenda Instagram tafuta page za matangazo ya ajira. Zipo nyingi tu, kuna 'ajirachap', 'ajira na biashara', 'ajiraleo', 'ajiraonline' , 'ajirazone', 'ajira michezo biashara' na nyingine nyingi.
Kwa kutafuta urahisi, tafuta: @ajirazone. Hii mimi ndio ninayoipenda kuliko zote. Kwanza wanapost matangazo ya ajira karibia kila siku halafu kujiunga kwenye group lao la whatsApp ni bure (wengine wanatoza buku 2). Lakini pia link ya kujiunga na group lao la whatsApp iko pale pale kwenye page yao (bio) ya Instagram. Nisuala la kubonyeza link tu tayari umeshajiunga. Nenda kwenye Instagram search, andika "ajirazone", itakuja page yenye hilo jina.
Hata kama bado hujakata tamaa na ajira za website sio mbaya pia kujaribu kutafuta ajira kupitia ma group ya whatsApp. niwatakie siku njema.
Kuna websites huwa zina matangazo ya ajira. Sitaki kuzitolea mfano maana sitaki kuchafua website yoyote. Na lengo la hii post sio kuchafua website yoyote ila kushare tu kile ambacho mimi nimejifunza katika kutafuta ajira. Katika post hii sizungumzii ajiraportal. Binafsi niseme nina imani sana na ajira portal. Japo mimi sijawahi pata ajira kupitia ajira portal ila nawafahamu watu waliopata ajira kupitia ajira portal. Sizungumzii ajira za serikali zinazotangazwa ajira portal.
Nazungumzia website nyingine za ajira (ambazo zinatangaza ajira kutoka private sector). Website hizi huwa zina matangazo ya ajira kutoka kampuni kubwa za hapa nchini na katika matangazo hayo huwa inaelekezwa mpaka jinsi ya kutuma maombi, lakini nilichokiona (kwa upande wangu) matangazo haya huwa yanawekwa kutimiza wajibu tu.
Inasemekana kwamba, taratibu zinawataka waajiri watangaze ajira mtandaoni (kwenye websites) kwa hiyo baadhi ya waajiri (sio wote, ila asilimia kubwa) hutangaza kwa lengo la kutimiza wajibu tu, lakini nafasi inakuwa imeshazibwa tayari. Kwahiyo tunatuma maombi tukijua maombi yetu yatasomwa lakini hilo suala halitokei kutokana na kwamba nafasi imeshapata mtu tayari.
kwahiyo nilichojifunza baada ya kutuma sana maombi kwenye ajira zinazotangazwa kwenye websites za ajira na kutoitwa hata interview moja ni kwamba: ni ngumu sana kupata ajira kwa njia ile.
Niia gani nimeitumia kupata ajira mwaka huu?
Nimetoka mkoa niliopo nikaja Arusha kwa rafiki yangu ambae nilisoma nae chuo. Nikiwa hapa nikashauriwa nijiunge na Instagram na kufollow Page za ajira za Instagram, nikajiunga na magoup yao ya whatsApp. Basi baadhi ya watu wakawa wanashare ajira mbali mbali. Baadhi ya ajira ukipiga simu unakuta haipokelewi, nyingine haipatikani ila nyingine anapokea anakwambia kwamba mtu kashapatikana. Nikiwa kwenye group ikatumwa ajira ya ualimu kutoka Steps Academy. Nikapiga nikaambiwa nipeleke vyeti nikapeleka nikasubiri kuitwa kwa ajili ya interview. Niseme tu wala sikuamini kama ntaitwa, ila niliitwa. nikafata utaratibu wao wa interview, mwishowe nikapata. (mimi nimesoma ualimu)
Ajira nyingi zinatangazwa ila hazitufikii kwa sababu hatutaki kutoka vijijini tulimozaliwa na kusoma. Si lazima utoke huko uliko. Unaweza kuchukua simu yako, ukaja hapa Jamiiforums ukatafuta watu wanaotafuta ajira kama yako mkawa mnapeana habari na mwishowe mkaunda group mkawa mnashea taarifa za nafasi za ajira, ukajikuta umeshapata ajira kwa njia hiyo.
Kama unaona kazi kufanya hivyo nenda Instagram tafuta page za matangazo ya ajira. Zipo nyingi tu, kuna 'ajirachap', 'ajira na biashara', 'ajiraleo', 'ajiraonline' , 'ajirazone', 'ajira michezo biashara' na nyingine nyingi.
Kwa kutafuta urahisi, tafuta: @ajirazone. Hii mimi ndio ninayoipenda kuliko zote. Kwanza wanapost matangazo ya ajira karibia kila siku halafu kujiunga kwenye group lao la whatsApp ni bure (wengine wanatoza buku 2). Lakini pia link ya kujiunga na group lao la whatsApp iko pale pale kwenye page yao (bio) ya Instagram. Nisuala la kubonyeza link tu tayari umeshajiunga. Nenda kwenye Instagram search, andika "ajirazone", itakuja page yenye hilo jina.
Hata kama bado hujakata tamaa na ajira za website sio mbaya pia kujaribu kutafuta ajira kupitia ma group ya whatsApp. niwatakie siku njema.