Salama wadau,
Nina kamamiezi kadhaa toka niamie makazi yangu mapya...ila tatizo ninalokutana nalo ,wapita njia wanaomba ramani ya nyumba(nyumba bado sijaliza ukuta) pia ipo barabarani main road
Zaidi ya mara nne nimeshawatimua watu wanapiga picha nyumba bila ruksa yangu tena hapo ni weekend...
Afisa mwandamizi wa TAKUKURU makao makuu Dar Es Salaam bwana Cosmas Batanyita, anashikiliwa kwa kuomba na kupokea rushwa Kutoka kwa wafanyabiashara wawili waliokuwa wanakabiliwa na makosa ya ukwepaji kodi
tayari amefukuzwa kazi
SOURCE: Diwan Athumani DG
====
Influenza said;
Mchunguzi...
leo siku ya sheria ,mh rais kwenye hotuba yake namnukuu "mimi nimejitahidi sana katika uongozi wangu kutokuingilia muhimili wowote, sijaingilia bunge hata wakizungumza kule , Saa nyingine Bungeni wanakutukana unaishia kuzima TV unaenda mahali pengine "
nimetafakari nikapata nadharia zifuatazo...
Vacancy Description
Reporting to the Administration Manager, the Program Assistant/s will provide programmatic and operational support to the program teams. S/he will work closely with the program teams at both national/county and sub-county levels. The Program Assistant will be responsible for...
CIMA/ACCA Qualified Management Accountant (Tanzanian Nationals Only)
Vacancy Title: Management Accountant, CIMA/ACCA Qualified
Responsibilities and Qualifications
Reporting to the CFO and Managing Director
Preparation of financial and management reports, covering Cashflows, Budgets...
We are looking for young people with new ideas and fresh perspectives.
If you have a passion for innovation, the ability to devise new solutions to old problems, and a willingness to challenge the established orthodoxy, then we want to hear from you.
Who are we? We are Transparency...
Welcome! The Obama Foundation Africa Leaders Program will inspire, empower, and connect emerging leaders from across Africa, through a core set of shared values and leadership skills, to build a new generation of active African citizens and positive role models prepared to create tangible...
Company: Sportpesa
Location: Nairobi, Nairobi County, Kenya
State: Nairobi
Job type: Full-Time
Job category: Legal Jobs in Kenya
Sportpesa Tanzania seeks to recruit a competent, proactive and passionate Legal Officer. The position is based in Dar El Salaam Tanzania.
Reporting to the Chief...
naomba msada wenu wadau nataka ninunue toyota funcargo,sijawahi kuitumia sijui lolote kuhusu uzuri na ubaya wake.
nimelipenda kwa kuwa lina Engen capacity ndogo na linafaa kwa familia,pia litanisaidia kupunguza budget ya mafuta kwa mimi ninayekaa nje ya mji
hapo nyuma nimetumia ipsum ila...
kiwanja halali kabisa sqm 1700 kipo chanika buyuni,maji,umeme, barabara uhakika
makutano ya njia mbili,jirani tayari ameshajenga ukuta,Kipo karibu na PSPF project , 0.8 km kutoka kwenye barabara ya lami.
bei: 35 millions
only for serious buyer tuwasiliane PM
Tarehe 8 april NBAA (taasisi inayoheshimika )walitoa tangazo la nafasi za kazi kwenye gazeti la daily news pekee,na kwenye tovuti yao kwa muda wa siku saba tu.ilikuwa siku ambayo wengi walikuwa kwenye mapumziko ya pasaka na karume day ndio maana watu wengi hawakuliona hilo tangazo labda wachache...
NATIONAL BOARD OF ACCOUNTANTS AND AUDITORS
CALL FOR WRITTEN INTERVIEW
Accountant Grade II
No
Name
Address
1
EDWIN C. BARONGO
P.O. BOX 768, MOROGORO
2
LYIMO BOAZ
P.O. BOX 12311, DSM
3
ELIZABETH N. MAKINDA
P.O. BOX 78899, DSM
4
AGNES MUGANDA
P.O. BOX 1344, DSM...
katika Bunge la Bajeti Mheshimiwa Tundu Lissu kamtaja Kassim Hanga kuwa aliuliwa...
kwa wasio mfahamu abdallah kasimu hanga alikuwa makamu wa kwanza wa raisi zanzibar
Haya hapa chini ni baadhi ya maneno aliyosema Mheshimiwa Lissu Bungeni kuhusu kuuliwa kwa Abdallah Kassim Hanga, Abdulaziz...
Habari zenu wakuu,ninaomba mnifahamishee hii chanjo inatolewa kwa watu wazima(adults) au watoto???
maana hapa ofisini naombwa ruhusa na wamama,wadada eti wanaenda kuchanjwaa tena inachukua siku nzima sasa hapa mimi ndio nabaki kufanya kazi za watu 5 wote walioondokaa
naomba mnifahamishe walengwa...
TAHADHARI Kutoka kwa Moderator : Hii habari ni ya uongo
-----------------------
Atlanta, GA.
Rogers Kyaruzi, 23, wa Atlanta ni mtu wa pili kuwa kukutwa na virusi vya Ebola nchini Marekani. Kyaruzi hivi karibuni alirejea kutoka Tanzania, nchi za Afrika Mashariki kwa sasa inakabiliwa na virusi...
A PhD in engineering Cambridge student drops it all to be married as a third wife
Nabilah Phillips dropped out of Cambridge to become one of three women married to businessman and charity worker Hasan Phillips, 32
Studying for a PhD in engineering at Cambridge, she might not seem like a...
SECRETARIES
Purpose of the Job
To perform various Secretarial Duties to the Head / Deputy Head of
Department/Manager
Major Activities of the Job
(i) Receive, interview and accordingly direct visitors.
(ii) Type letters, minutes, various documents and reports.
(iii) Handle...
From the Guardian 25th August
Tanzania International Container Terminal Services Limited (TICTS) is a member of Hutchison Port Holdings Group (HPH) of Hong Kong. Hutchison Port Holdings (HPH), a subsidiary of the multinational conglomerate Hutchison Whampoa Limited (HWL), is the world's...
KCB is renowned for its diversity and growth in the Region is currently strengthening its support for group operations and business with the aim of maintaining Best Practice whilst also responding to the growing Business needs to support internal and external Customer Service delivery objectives...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.