Habari.
Nina shida na Ramani ya nyumba yenye sifa zifuatazo
-Vyumba viwili vya kulala, kimoja master
-Sitting room
-Public toilet
-Jiko
Naomba kuwasilisha
Ndugu wanajamvi, habari za majukumu?
Kuna mchoro wa ramani ya nyumba ya jirani yangu nimeupenda sana. Vipi nikihamishia huo mchoro site kwangu haitaleta noma?
Karibu tukuchoree ramani ya nyumba ya kisasa kwa bei ya ofa ya msimu wa sikukuu wasiliana nasi kwa simu au whatsapp 0717 040 837 au +255 767 267 664.
Anza mwaka na malengo makubwa ya kumiliki nyumba yako. Kodi Noma, hamia kwako
Salama wadau,
Nina kamamiezi kadhaa toka niamie makazi yangu mapya...ila tatizo ninalokutana nalo ,wapita njia wanaomba ramani ya nyumba(nyumba bado sijaliza ukuta) pia ipo barabarani main road
Zaidi ya mara nne nimeshawatimua watu wanapiga picha nyumba bila ruksa yangu tena hapo ni weekend...
Wana Jamiiforums wenzangu khabari za jioni, kwa wataalam wenye talanta na taaluma za mambo ya ujenzi Naomba msaada wa RAMANI ya nyumba ya wapangaji.
Ahsante.
Ramani ya vyumba vinne, chumba kimoja masta,vyumba vitatu vya kawaida, pia ina
~sebule
~dining
~jiko
~stoo
~public toilet
~veranda mbili
~Ukubwa wa Ramani ni mita 13.8 kwa mita 13.8
~Mahitaji: Tofali 3500,Bati 50 Kupata Ramani na plan yake tuwasiliane 0742295125 Call/WhatsApp
Ramani ya nyumba ndogo yenye mahitaji muhimu, ina..
Sebule
dining
vyumba viwili kimoja master
jiko
stoo
public toilet
entrance veranda
kitchen veranda
INATOSHEA KWENYE KIWANJA CHA MITA 11.7 KWA MITA 10
MAHITAJI
TOFALI 2678 (za msingi 675, nyumba 2003)
BATI PISI 55 (za futi 10 urefu na upana...
Ramani ya vyumba vitatu, chumba kimoja masta,vyumba viwili vya kawaida, pia ina
¶sebule
¶dining
¶jiko
¶stoo
¶public toilet
¶veranda mbili
~Ukubwa wa Ramani ni mita 16.2 kwa mita 12.8
~Mahitaji: Tofali 3500,Bati pisi 85 Kupata Ramani na plan yake tuwasiliane 0742295125 Call/WhatsApp
Ramani ya vyumba viwili, chumba kimoja masta, kingine cha kawaida, pia ina;
~sebule
~dining{chumba cha kulia chakula}
~jiko
~stoo
~choo cha kushea
~baraza ya mbele na ya jiko
~Ukubwa wa Ramani ni mita 11.6 kwa mita 8.6
~Mahitaji: Tofali 2650,Bati pisi 34 { futi 10 urefu na upana futi 3}
~kupata...
Moja kati ya nyenzo zinazowanyanyua watu wengi na kuwa na utajiri basi ni miradi ya kupangisha nyumba(Real estate), nichukue nafasi hii kuwaonyesha michoro ya 3d ya nyumba za kupanga, zikiwa na self tu ( ziko nne) na self pamoja na sebule(ziko tatu)// saizi ya kiwanja ni mita 20/kwa 20...nichek...
Nimejitahidi kadri ya uwezo wangu naanda hii ramani ya nyumba ya vyumba viwili kwaajili ya watanzania wenye uchumi wa kawaida kama mimi.
Unaweza kujionea hapa chini. Ila bado haijamalizika.
Ukubwa wa ramani mita 9.9 kwa mita 9.3 Nyumba ina
1 self bedroom
1 bedroom
open kitchen
entrance and kitchen veranda
public toilet
living room
tofali za msingi 517
tofali za nyumba 1280
bati 30
Kupata Ramani na plan yake tuwasiliane whatsap 0742295125
RAMANI YA NYUMBA YA GHARAMA NAFUU YA VYUMBA VITATU KIMOJA MASTA ,INA DINING,SEBULE PIA INA....
¶JIKO
¶STOO
¶CHOO NA BAFU LA KUSHEA
¶BARAZA MBILI
-UKUBWA WA RAMANI MITA 11.5 KWA MITA 11.5
-MAHITAJI: TOFALI 2630 BATI PISI 58
KUPATA RAMANI YAKE TUWASILIANE WHATSAP 0742295125
RAMANI YA NYUMBA YA GHARAMA NAFUU, YENYE:
¶VYUMBA VITATU VYA KULALA KIMOJA SELF
¶SEBULE
¶OPEN KITCHEN
¶DINING
¶CHOO CHA KUSHEA
¶VERANDA MBILI
¶STOO
~MAKISIO
¶TOFALI ZA BLOCK=3423
¶BATI ZA FUTI KUMI=68
~UKUBWA WA RAMANI NI MITA 11.5 KWA 13.35
KUPATA RAMANI YAKE TUWASILIANE WHATSAP 0742295125
RAMANI YA NYUMBA YA GHARAMA NAFUU, YENYE:
¶VYUMBA VITATU VYA KULALA KIMOJA SELF
¶SEBULE
¶OPEN KITCHEN
¶DINING
¶CHOO CHA KUSHEA
¶VERANDA MBILI
¶STOO
~MAKISIO
¶TOFALI ZA BLOCK=3423
¶BATI ZA FUTI KUMI=68
~UKUBWA WA RAMANI NI MITA 11.5 KWA 13.35
KUPATA RAMANI YAKE TUWASILIANE WHATSAP 0742295125
habari naitaji ramani ya nyumba vyumba vitatu na sebule
chumba kimoja master then public toilet
kiawanja ni sq 15/15
kipo arusha pia ni flat hakuna mwinuko hata kidogo
pia nipate kujua vifaa na idadi ya vitu vitakavyo itajika hadi kufika
kwenye lentaa
asanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.