Wepostnow tuunatafuta waandishi wa kujitegemea kujiunga na timu yateu.Utaweza kupata hadi kiasi cha shilingi 460,000 kila mwezi (200$).
Wepostnow inakupa nafasi ya kuandika kwa lugha ya Kiswahili au kiingereza.
Pia mfumo wetu unakupa nafasi ya kufanya kazi muda wowote ule kupitia simu yako ya...
The photograph is by Alice Seeley Harris, the man’s name is Nsala. Here is part of her account (from the book “Don’t Call Me Lady: The Journey of Lady Alice Seeley Harris”): He hadn’t made his rubber quota for the day so the Belgian-appointed overseers had cut off his daughter’s hand and foot...
Katika pitapita zangu youtube nimekutana na hii makala ikielezea unyama unaofanywa na walinzi wa mgodi wa North Mara kwa wakazi wanaozunguka mgodi huo.
Bofya hapa chini kutazama hii makala.
Nikiwa natazama habari asubuhi ya leo, nimekuta na hii habari ya watanzania waishio Msumbuji. Dada huyu anaelezea namna askari hao wanavyo wafanya baadhi ya wanawake wakitanzania. Bofya chini kutazama hii video clip. source CH 1O.
Wanajamvi.
Leo katika kupita zangu page ya Simu.TV ya youtube nimekutana na hii mada ya Kiswahili na uvuvi wa kufikiri na kutenda. Mtafiti huyu amesema amefanya utafiti ndani na nje ya nchi kuhusu hili na alichogundua kuwa watumiaji wa kiswahili ni wavivu wa kufikiri na kutenda.
Case study...
Habari wanabodi.
Zikiwa zimepita siku 14 toka wafuatiliaji wa masuala ya saisa, na wanasiasa hasa wanachama wa CHADEMA kuadhimisha mwaka mmoja toka mwanachama na mgombea ubunge jimbo la Busanda,
Marehemu Alphonce Mawazo auawe kikatili huko mkoani Geita na watu wasiojulikana, naomba kufahamu...
Klabu ya Rotary ya Oyster Bay kwa kushirikiana na benki ya Diamond Trust Tanzania (DTB) wameandaa kambi ya matibabu ya bure itakayofanyika tarehe 27 November mwaka huu katika shule ya msingi Kerege wilayani Bagamoyo.Vipimo na matibabu yatatolewa ni pamoja na malaria, upungufu wa damu, kisukari...
Hakika haka katoto kameshusha kama si kuumbwa. hizi picha nikizitazama nasema hajaniendelee kula matoeleo ya 3. Kanaitwa ka Kylie Jenner kametimiza miaka 19 hivi karibuni.
KUZALIWA NA KUFA KWA CIA WA ZAMANI WA MAREKANI SADDAM HUSSEIN
-Mwaka 1959 Sadam Hussein alielekea Misri baada ya kushindwa mapinduzi ya kumuondoa rais General Qassim.
-A lipokuwa Cairo Misri inadaiwa Saddam Hussein kutembelea ofisi za ubalozi wa marekani na kukutana na CIA mara kadhaa kwa...
Kuna Mtu aliyeitwa kwenye usahili wa hii post ya marketing and communication officer katika NGOs ya Agape aids control programme based in shinyanga. Kama yupo naomba ani PM tute jambo
Mr. Trump is providing something new and something fresh': Obama's half-brother Malik announces he is voting for The Donald
Malik Obama has announced he is voting for Republican Donald Trump
His brother, President Barack Obama, has publicly backed Democrat Hillary Clinton in the race
Malik...
Is Putin trying to 'weaponize' Wikileaks to get Trump into the White House? Clinton campaign claims hackers linked to Russian government leaked DNC emails
Hillary Clinton's campaign claims Russians hackers attacked Democratic National Committee computers to help elect Donald trump
Campaign...
Hatimaye ma loan officer wamejibu[emoji3][emoji3]
1. Watu hawaoshi magari kila siku, maana sio mwili wa binadamu ule kila siku uoge. Mara nyingi watu huosha magari wikiend. Tena huwa hawako kazini, so huyo kijana atakuwa hana kazi wikiend maana hatuendi kazini.
2. Wanaosha katikati ya wiki ni...
HERE ARE THE REASONS WHY A SERIOUS MAN MUST NOT MARRY THESE WOMEN: POLICE WOMEN, NURSES, LAWYERS, TV NEWS ANCHORS/PRESENTERS AND POLITICIANS.
When it comes to good wives, there are careers you should not consider marrying women from. There are shocking reasons why police women, TV news...
Katika hali ya kushangaza Rais wa TFF , Jamal Malinzi ameweka bandiko la msimamo mpya wa ligi iki na nembo ya NAIPENDA YANGA .
Nembo hii iko katika hali ya watermark.
The parents of Otto Frederick Warmbier, an American college student detained in North Korea, are "greatly relieved' now that they've seen pictures of him for the first time in nearly two months.
"We had not heard from him during these many weeks, so you can imagine how deeply worried we were...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.