Jibu kutoka kwa loan officer's

Papaa Azonto

JF-Expert Member
Jun 30, 2013
319
277
Hatimaye ma loan officer wamejibu

1. Watu hawaoshi magari kila siku, maana sio mwili wa binadamu ule kila siku uoge. Mara nyingi watu huosha magari wikiend. Tena huwa hawako kazini, so huyo kijana atakuwa hana kazi wikiend maana hatuendi kazini.

2. Wanaosha katikati ya wiki ni wachache, so huenda akajitahidi sana akaosha magari matano hadi saba kwa siku za kazi

3. Watu hatufanyi kazi siku 30, kuna siku 8 hapo za wikiend, so zinabaki 22.

4. Akiosha magari 7 kwa siku(maximum) kwa shs 3000 kila gari, atakuwa anaingiza 21,000 na zile tip anaweza pata hadi 25,000

5. Sawa amekula chakula kwa hiyo shs 800, hapo bado kuna nauli ya anapotoka, anaweza kuwa anatoka gongo la mboto, mbagala, mabwepande. Naweka shs 2000 kwa siku. Tayari ana matumizi ya shs 2800 kwa siku

6. Utakuta huko nyumbani ana watoto watatu, wote wanasoma. Weka nauli zao, weka kiasi anachoacha nyumbani. Natoa elfu 10 hapa kwa matumizi hayo

7. Katika zile siku 22 alizofanya kazi, kwa kipato cha shs 25,000 kwa siku. Mwisho wa mwezi jumla atakuwa ameingiza shs 550,000

8. Alitumia shs 800x22 kwa chakula jumla shs 17,600, nauli 2000x22 jumla 44,000. Matumizi ya nyumbani elfu 10,000x22 jumla shs 220,000. Kwa hayo tu, jumla ni 281,600 ambayo approxmately ni shs 300,000 kwa mwezi. Hapo sijaweka kuna ndugu zake wanamtegemea pia

9. So katika shs 550,000 tukitoa shs 300,000 anaweza kubaki na shs 250,000. Hapo naye unakuta anakunywa, anavuta sigara, na ana vimchepuko vyake vya uswahilini ( all risks anazo). Sijui anatumia ngapi, nafanya shs 4,000 kwa siku kwa vyote hivyo, sigara 5 kwa siku shs 1000, bia moja shs 2,500 na mchepuko shs 500 kwa siku( na sijui kama huo mchepuko utakubali kupewa hiyo jero kwa siku labda uwe ule wa chura anaruka ruka) then shs 4,000x siku 30, jumla shs 120,000.

10. Aaah, nilataka kusahau, kumbe hana nyumba, amepanga vyumba viwili kule uswahilini, kodi kwa chumba kimoja shs 30,000 jumla shs 60,000. Mpaka hapa shs 250,000 iliyobaki toa shs 180,000( 120,000 jumlisha 60,000 ya kodi) inabaki shs 70,000.

11. Mpaka hapo ana shs 70,000 akijatahidi sana kusave, sasa weka hapo kuna mama ake, dada ake anasoma, kuna ndugu yake naye hana lolote sometime anamsadia, sijui kama ataweza kusave hiyo shs 70,000 kwa huo mwezi. Na tusidanganyane hapa, tuliokulia uswahilini tunajua, huwa hatunaga kusave for tomorrow. What we get we spend it, we get it spend it like arabs.

12. Aisee shs 2,700,000 kwa mwezi ni nyingi, miaka miwili tu, angekuwa ana nyumba, gari na biashara yake aache kuosha magari. Ila tunawajua, vyote hivyo hawana. Ndo maana hawaachi kuosha magari.

13. Hapo na hiyo hela sio ya uhakika, means akipata dharura asipotokea, hiyo hela hapati. Loan officer hata akiumwa laki saba na nusu yake ni pie.

14. Maisha sio ma-president kihivyo, shs 750,000 ya uhakika inaweza fanya mengi kuliko isiyo na uhakika

15. Nitarudi kwa benefit anazopata huyo loan officer.
Loan officer 2016
 
Loan officer ametoa majibu mepesi sana na nadhan hakuelewa vizur original article!!

Duc In Altum.
 
bikira wa kisukuma a.k.a Seth anaandika bila kuwa informed na utafiti. Huyu binadamu sijui huwa haoni aibu kupotosha umma? Yeye mwenyewe alikuwa anafanya kazi bank akafukuzwa. Naona bado ana hasira maana the parliament pub wako share watu 4 hesabu hazibalansi.
Kama mnakumbuka vizuri kipindi alipochanganua matumizi ya sh laki 3 alisema kwa fedha hiyo unalima eka ya ufuta na mpunga. Vijana masikini wa tanzania wamejipinda wameparamia mapori ya eka 200 mkuranga kwa kudhani watalima eka ya ufuta kwa laki 3. Gharama walizokutana nazo ni milioni kwenda juu. Anakaa kijiweni anaandika magazeti bila kuingia field kufanya utafiti ndipo afanye hitimisho. Hii ni kupotosha umma.
Ushauri kwa bikira: uandishi usioongozwa na utafiti ni sawa na kelele za mwendawazimu. Ndio maana hata maprofesa wakiandika wanaweka rejea za Chanzo cha uandishi wao. Ile misukule yako itakutetea ila ukweli nimesema. Huwa unajitahidi sana uwepo wako utambulike kwa jamii ya dar kitu ambacho si kibaya ila ni vyema uwe unatoa taarifa sahihi. Acha kuwapotosha vijana wa tanzania hasa wavivu wa kuchambua mambo wanaodhani chochote unachosema ni 100% kweli .
Halafu kubali kukosolewa maana wewe sio malaika. Unapokosolewa unakimbilia kuwakata watu. Hiyo haitakujenga bali itakuangusha
 
Loan officer akipitisha loan moja tu ya tzs 100 hakosi 10m....je akipitisha ya 1b? Watu wanapenda kujipa moyo na kudharau kazi za wengine, huyo muosha magari angepewa second chance achague kuwa loan officer au muosha magari angechagua kuosha magari? sidhani.
 
LOAN OFFICER

Ni kweli kabisa mchanganuo wa huyo muosha magari, tena umesahau kuumwa yeye au familia,
Umesahau pia mvua inyeshapo hana kazi, maana magari ujiosha wenyewe,
Mara kadhaa askari wa jiji uwasumbua kwa wale maofisi zao zenye parking chache,
 
Kuna watu wanachukuliaga vitu kirahisi sana, kilimo cha ufuta ekari 1 ulime kwa laki tatu???
Mnawapotezea vijana muda, Kusafisha shamba 100, Kulima 50, kupanda 50, kupalilia mara mbili 100, kupiga dawa marambili siyo chini ya 200, kuvuna kwa ekari not less than 50, maturubai 100, kupigapiga not less than 50, Viroba shilingi ngapi not less than 20, kubeba....Jumla ngapi=TZS 720,000. Tuache kudanganyana. Kama tukiamua kufanya kazi tufanye, lakini ushauri tutoe kwa tafiti. Hapo sijaweka gharama ya usafiri kwenda kutembelea shamba.
 
Mara nyingi hesabu za mezani zina faida kubwa sana. Lakini ukienda kwenye hali halisi mambo huwa tofauti kabisa, ndo maana watu wakaamua uchumi wao uamuliwe na hali halisi atakayokuta.
 
Hatimaye ma loan officer wamejibu

1. Watu hawaoshi magari kila siku, maana sio mwili wa binadamu ule kila siku uoge. Mara nyingi watu huosha magari wikiend. Tena huwa hawako kazini, so huyo kijana atakuwa hana kazi wikiend maana hatuendi kazini.

2. Wanaosha katikati ya wiki ni wachache, so huenda akajitahidi sana akaosha magari matano hadi saba kwa siku za kazi

3. Watu hatufanyi kazi siku 30, kuna siku 8 hapo za wikiend, so zinabaki 22.

4. Akiosha magari 7 kwa siku(maximum) kwa shs 3000 kila gari, atakuwa anaingiza 21,000 na zile tip anaweza pata hadi 25,000

5. Sawa amekula chakula kwa hiyo shs 800, hapo bado kuna nauli ya anapotoka, anaweza kuwa anatoka gongo la mboto, mbagala, mabwepande. Naweka shs 2000 kwa siku. Tayari ana matumizi ya shs 2800 kwa siku

6. Utakuta huko nyumbani ana watoto watatu, wote wanasoma. Weka nauli zao, weka kiasi anachoacha nyumbani. Natoa elfu 10 hapa kwa matumizi hayo

7. Katika zile siku 22 alizofanya kazi, kwa kipato cha shs 25,000 kwa siku. Mwisho wa mwezi jumla atakuwa ameingiza shs 550,000

8. Alitumia shs 800x22 kwa chakula jumla shs 17,600, nauli 2000x22 jumla 44,000. Matumizi ya nyumbani elfu 10,000x22 jumla shs 220,000. Kwa hayo tu, jumla ni 281,600 ambayo approxmately ni shs 300,000 kwa mwezi. Hapo sijaweka kuna ndugu zake wanamtegemea pia

9. So katika shs 550,000 tukitoa shs 300,000 anaweza kubaki na shs 250,000. Hapo naye unakuta anakunywa, anavuta sigara, na ana vimchepuko vyake vya uswahilini ( all risks anazo). Sijui anatumia ngapi, nafanya shs 4,000 kwa siku kwa vyote hivyo, sigara 5 kwa siku shs 1000, bia moja shs 2,500 na mchepuko shs 500 kwa siku( na sijui kama huo mchepuko utakubali kupewa hiyo jero kwa siku labda uwe ule wa chura anaruka ruka) then shs 4,000x siku 30, jumla shs 120,000.

10. Aaah, nilataka kusahau, kumbe hana nyumba, amepanga vyumba viwili kule uswahilini, kodi kwa chumba kimoja shs 30,000 jumla shs 60,000. Mpaka hapa shs 250,000 iliyobaki toa shs 180,000( 120,000 jumlisha 60,000 ya kodi) inabaki shs 70,000.

11. Mpaka hapo ana shs 70,000 akijatahidi sana kusave, sasa weka hapo kuna mama ake, dada ake anasoma, kuna ndugu yake naye hana lolote sometime anamsadia, sijui kama ataweza kusave hiyo shs 70,000 kwa huo mwezi. Na tusidanganyane hapa, tuliokulia uswahilini tunajua, huwa hatunaga kusave for tomorrow. What we get we spend it, we get it spend it like arabs.

12. Aisee shs 2,700,000 kwa mwezi ni nyingi, miaka miwili tu, angekuwa ana nyumba, gari na biashara yake aache kuosha magari. Ila tunawajua, vyote hivyo hawana. Ndo maana hawaachi kuosha magari.

13. Hapo na hiyo hela sio ya uhakika, means akipata dharura asipotokea, hiyo hela hapati. Loan officer hata akiumwa laki saba na nusu yake ni pie.

14. Maisha sio ma-president kihivyo, shs 750,000 ya uhakika inaweza fanya mengi kuliko isiyo na uhakika

15. Nitarudi kwa benefit anazopata huyo loan officer.
Loan officer 2016


Papaa Azonto, umeua. Usingeleta hii thread hapa, nlikuwa tayari nmeshamwamini huyu Bikira wa Kisukuma tayari.

Nnahakika kwa wale ambao watashindwa kuiona hii thread, watakuwa wameshalishwa sumu tayar na huyu kijana bikira wa Kisukuma.

Napendekeza: hii thread ya Papaa Azonto, isambazwe kwenye whatsapp ili wale wote waliokwisha lishwa sumu kuwa Loarn Officer hafui dafu kwa Muosha Magari wa Mjini, wapate kujua kuwa ni uzushi unaolenga kupotosha umma.
 
Back
Top Bottom