Search results

  1. DOCTOR UZI

    Hivi maji ya Dodoma yana peroxide?

    Za muda huu wakuu wa mambo Moja kwa moja kwenye mada, tokea nije Dodoma sio nguo sio ngozi lazima vibadilike ila nikirudi DSM hali inakuwa nzuri mno Nguo - ukiifua zaidi ya mara 5 kama ni nyeusi mpauko utakao uona huwezi kuitamani hiyo nguo na rangi nyingine ni nafuu ila nyeusi ndio mwisho...
  2. DOCTOR UZI

    Ford VS Ferrari ( A Must see movie)

    Wakuu niaje Moja kwa moja kama ww ni mpenzi wa magari na movie bhas nakushauri usisite kuitafuta movie ya ford vs ferrari bonge moja la drama kuhusu racing na magari. Theme ya movie ni kuna jamaa muingereza kwa majina anaitwa ken miles ni jini akiwa kwenye steering wheel anaungana na retired...
  3. DOCTOR UZI

    Lexus lx570 vs toyota landcruiser v8

    Wakuu niaje Asee moja kwa moja kwenye mada kibongo bongo ukimuona v8 cruiser unaiheshimu ila kuna huyu mnyama lexus lx570 ni wa moto sana kwanzia interior and exterior design. Kuhusu hp performace mnyama lexus wa moto pia mjapan toyo ana 381hp huku mnyama lexi cute ni 383hp. Picha hapo...
  4. DOCTOR UZI

    Hivi bongo mambo kama ya wall street Marekani?

    Wakuu za muda huu Direct kwenye swali na hoja yenye kutaka kujua , kwa wale wapenzi wa movie kuna movie inaitwa wolf of wall street ya leonardo dicaprio na maggot robbie , ndo ilikuwa mara yangu ya kwanza kujua wall street kwa uchache Wall street ni nini?? Kwa knowledge yangu ndogo ni mtaa wa...
  5. DOCTOR UZI

    Nimerudi ghetto nimekuta wameiba kila kitu

    Wakuu Kila janga ni fursa Moja kwa moja kwenye mada nina geto Dodoma. Lipo ndani ya uzio(ukuta na geti) wapangaji wengi ni wanachuo na baadhi wasio wanachuo, pia mwenye nyumba haishi hapo. Mnamo tarehe 13/03/2020 Niliondoka nakuingia mjini Daslam na kupelekea kukaa mpaka janga la corona...
  6. DOCTOR UZI

    Nimegundua leo kuwa kisamvu ni majani ya mti wa Muhogo

    Nimeamka zangu asubuhi nikala mihogo ya kuchemsha na chai ,baada ya muda kidogo maza angu mmoja hivi ninae kaa naye akaweka kisamvu jikoni . Kuja kufatilia kumbe majani ya kisamvu yanatoka kwenye muhogo. Kiufupi leo nimekula majani na mizizi ya muogo.
  7. DOCTOR UZI

    Nitumie usafiri gani kusafirisha mizigo yangu kutoka Dar - Dodoma?

    Wakuu za muda huu, Moja kwa moja kwenye mada au swali , mm ni mwanachuo nasoma Dom ila naishi dar kuna baadhi ya vitu nataka nivipeleke kwenye geto langu la dom (kitanda 5*6,tv ,fridge) Sasa wakuu nilikuwa nataka kujua kama kuna usafirishaji mwengine ukitoa wa bus maana hawataki kusafirisha...
  8. DOCTOR UZI

    Gunna vs Lil Baby

    Niaje wanyakwezi Moja kwa moja kwenye mada nimekuletea mjadala hapa tufunguke nani mnyama wa mumble na caption lyrics kati ya hao wawili, binafsi kwangu Gunna anajua kuliko Baby , fact zipo nyingi ila cha kushangaza Baby ndo anapataka attention kubwa ila dua 2 Mfano mdogo album zao za mwisho...
Back
Top Bottom