Nitumie usafiri gani kusafirisha mizigo yangu kutoka Dar - Dodoma?

DOCTOR UZI

Member
Apr 28, 2020
99
79
Wakuu za muda huu,

Moja kwa moja kwenye mada au swali , mm ni mwanachuo nasoma Dom ila naishi dar kuna baadhi ya vitu nataka nivipeleke kwenye geto langu la dom (kitanda 5*6,tv ,fridge)

Sasa wakuu nilikuwa nataka kujua kama kuna usafirishaji mwengine ukitoa wa bus maana hawataki kusafirisha vyote kwa pamoja uchukue kimoja uache viwili na mm nataka vyote niende navyo au vipakiwe kwa pamoja.

Nitumie njia gani au usafiri gani wakuu wangu?
 
Nenda ofisini. Namaanisha kwenye ofisi kamili ya Shabiby. Usipokelewe na vibaka pale watakudanganya kwamba wao ni maanjent wa Shabiby. Hakikisha unakatiwa receipt yenye nembo za Shabiby. Pale vitapokelewa na kusafirishwa katika mabasi yao na utavipokea vyote ofisini kwao.
 
Wakuu za muda huu,

Moja kwa moja kwenye mada au swali , mm ni mwanachuo nasoma Dom ila naishi dar kuna baadhi ya vitu nataka nivipeleke kwenye geto langu la dom (kitanda 5*6,tv ,fridge)

Sasa wakuu nilikuwa nataka kujua kama kuna usafirishaji mwengine ukitoa wa bus maana hawataki kusafirisha vyote kwa pamoja uchukue kimoja uache viwili na mm nataka vyote niende navyo au vipakiwe kwa pamoja.

Nitumie njia gani au usafiri gani wakuu wangu?
Tumia Boda boda boxer 100 mkuu dk 0 vitu vyako vinafika Dom.
 
Wakuu za muda huu,

Moja kwa moja kwenye mada au swali , mm ni mwanachuo nasoma Dom ila naishi dar kuna baadhi ya vitu nataka nivipeleke kwenye geto langu la dom (kitanda 5*6,tv ,fridge)

Sasa wakuu nilikuwa nataka kujua kama kuna usafirishaji mwengine ukitoa wa bus maana hawataki kusafirisha vyote kwa pamoja uchukue kimoja uache viwili na mm nataka vyote niende navyo au vipakiwe kwa pamoja.

Nitumie njia gani au usafiri gani wakuu wangu?
Unapajua Jangwani mkuu? Fika pale na vitu vyako kuna Fuso za kutosha watakupakilia mizigo yako yote na ndani ya masaa 24 vitakuwa viko East Zoo!
 
Kama unatokea Ubungo kuelekea Kimara shuka kituo kinaitwa Rombo au Kibo ulizia mitaa ile,nakumbuka kulikuwa na malori yanayopakia vitu kwenda mikoani...
 
Back
Top Bottom