DOCTOR UZI
Member
- Apr 28, 2020
- 99
- 79
Wakuu za muda huu,
Moja kwa moja kwenye mada au swali , mm ni mwanachuo nasoma Dom ila naishi dar kuna baadhi ya vitu nataka nivipeleke kwenye geto langu la dom (kitanda 5*6,tv ,fridge)
Sasa wakuu nilikuwa nataka kujua kama kuna usafirishaji mwengine ukitoa wa bus maana hawataki kusafirisha vyote kwa pamoja uchukue kimoja uache viwili na mm nataka vyote niende navyo au vipakiwe kwa pamoja.
Nitumie njia gani au usafiri gani wakuu wangu?
Moja kwa moja kwenye mada au swali , mm ni mwanachuo nasoma Dom ila naishi dar kuna baadhi ya vitu nataka nivipeleke kwenye geto langu la dom (kitanda 5*6,tv ,fridge)
Sasa wakuu nilikuwa nataka kujua kama kuna usafirishaji mwengine ukitoa wa bus maana hawataki kusafirisha vyote kwa pamoja uchukue kimoja uache viwili na mm nataka vyote niende navyo au vipakiwe kwa pamoja.
Nitumie njia gani au usafiri gani wakuu wangu?