DOCTOR UZI
Member
- Apr 28, 2020
- 99
- 80
Wakuu
Kila janga ni fursa
Moja kwa moja kwenye mada nina geto Dodoma. Lipo ndani ya uzio(ukuta na geti) wapangaji wengi ni wanachuo na baadhi wasio wanachuo, pia mwenye nyumba haishi hapo.
Mnamo tarehe 13/03/2020
Niliondoka nakuingia mjini Daslam na kupelekea kukaa mpaka janga la corona likaingia nchini hivyo sikurudi Dom mpaka wiki iliyopita baada ya kupigiwa simu na manzi mmoja alikuwa anaishi nextdoor (geto la pembeni yangu) kuwa vitu vyake vimeibiwa,kufika na mimi nikakuta yaleyale kwanzia kitanda mpaka nguo walichoacha ni pazia tu na kwa manzi napo hivo hivo. Ukija kwa mama mwenye nyumba jibu lake ni moja “ anakwambia wezi hawana huruma,naomba kodi ya mwezi mmoja uliopita pia” nb kodi iliisha 15/05/2020 so anataka kodi ya kipindi hicho mpaka saivi na niongezee ya miezi mitano mingine.
Update:
Story ni ndefu ila mpaka leo nimefanikiwa kuhama pale nilipoibiwa na kudaka geto lengine nikianza na kitanda, godoro na vitu vya matumizi ya kila siku.
Kodi alinikopesha jamaa angu mmoja hivi ambaye nimepiga nae mishe nyingi sana tulikubaliana mpaka tar 20/06/2020 saa 23:59 (tano usiku ) nitakuwa nishamrudishia hiyo 200k,
mpaka leo nimefanikiwa kupata 100k na jamaa hataki anadai “strictly to the plan”
Nb: Huyu jamaa kabla sijaingia DSM nilikuwa namdai 40k na kipindi chote hicho alinizungusha sana na hadi leo anadai atanipa mimi ni blood wake. Wakuu ushauri.🙏🏿
Kila janga ni fursa
Moja kwa moja kwenye mada nina geto Dodoma. Lipo ndani ya uzio(ukuta na geti) wapangaji wengi ni wanachuo na baadhi wasio wanachuo, pia mwenye nyumba haishi hapo.
Mnamo tarehe 13/03/2020
Niliondoka nakuingia mjini Daslam na kupelekea kukaa mpaka janga la corona likaingia nchini hivyo sikurudi Dom mpaka wiki iliyopita baada ya kupigiwa simu na manzi mmoja alikuwa anaishi nextdoor (geto la pembeni yangu) kuwa vitu vyake vimeibiwa,kufika na mimi nikakuta yaleyale kwanzia kitanda mpaka nguo walichoacha ni pazia tu na kwa manzi napo hivo hivo. Ukija kwa mama mwenye nyumba jibu lake ni moja “ anakwambia wezi hawana huruma,naomba kodi ya mwezi mmoja uliopita pia” nb kodi iliisha 15/05/2020 so anataka kodi ya kipindi hicho mpaka saivi na niongezee ya miezi mitano mingine.
Update:
Story ni ndefu ila mpaka leo nimefanikiwa kuhama pale nilipoibiwa na kudaka geto lengine nikianza na kitanda, godoro na vitu vya matumizi ya kila siku.
Kodi alinikopesha jamaa angu mmoja hivi ambaye nimepiga nae mishe nyingi sana tulikubaliana mpaka tar 20/06/2020 saa 23:59 (tano usiku ) nitakuwa nishamrudishia hiyo 200k,
Nb: Huyu jamaa kabla sijaingia DSM nilikuwa namdai 40k na kipindi chote hicho alinizungusha sana na hadi leo anadai atanipa mimi ni blood wake. Wakuu ushauri.🙏🏿