Tanzania ni nchi iliyojaliwa madhari za kuvutia pasina shaka , kuanzia kaskazini kwenda kusini, magharibi mashariki, sijawahi kupata kigugumizi kusifia juu ya uzuri wa nchi yangu! Kwa kuzingatia hoja yangu kwa tuliopata fursa ya kusafiri kwa njia ya barabara Dom-Moro-Dom tunaweza shuhudia hili...
Habari za wakati huu wadau, poleni na majukumu ya kufuatilia mkataba na maandamano. Kwa yeyote anayefahamu kama kuna usafiri wa kutoka Dar es Salaam to Dom siku za Jumamosi alasiri namaanisha kuanzia saa tisa na kuendelea anijuze plus jina la basi.
1. Katumia Nguvu Kubwa sana ma Juhudi nyingi mno Kuomba kwenda Ikulu Dodoma leo na yawezekana asingepata nafasi hii Presha yake ingepanda na kuanzia Usiku huu au Kesho 'abbreviations' za R.I.P zingeanza Kutawala Kwake kila ukimuita, ukimtaja Hewani.
2. Tokea alipojiuzuru ana Huzuni Moyoni ya...
November 14, 1866: Dom Miguel I, King of Portugal, died in exile while hunting at Bronnbach in the Grand Duchy of Baden. The third son of King João VI and his queen, Carlota Joaquina of Spain, Miguel was a big fan of absolute monarchy or, as he liked to call it, "tradition". Briefly exiled for...
Wataalam wa AVIATION INDUSTRY watipigie hesabu... Yani How!?? Bomberdier au Dreamliner linapaa juu ..
Hovyohovyo..
Tupeni bili..kodi....
Je!? Ni kodi za mafukara ndo zaMrusha mama!??
Lakini ile ndege ya Rais iko wapi!? TuloambiwA hata tule nyasi..!!!?
Binafsi nitafaidika zaidi nikiona Picha za Rais yypo maeneo mbalimbali ya nchi yenye Changamoto mbalimbali akionana na Wananchi wake na kutatua Matatizo yao ya Kimsingi.
Mpaka hivi sasa GENTAMYCINE naitafuta Tija ya kila mara tu Mitandaoni tunaonyesha Picha za Rais akipunga mkono akipanda Ndege...
Kwa vile ninampenda sana Rais wangu. Napenda niwashauri hili watu wake wa karibu.
Rais amekuwa haeleweki ni wapi hasa makazi yake. Safari za Dar - Dom zimekuwa nyingi sana. Na anapaa angani, ina month anaweza fanya kama mara nne mpaka saba. This is riskier...ni hatari kwa usalama wake.
Vyombo...
Za muda huu wakuu wa mambo
Moja kwa moja kwenye mada, tokea nije Dodoma sio nguo sio ngozi lazima vibadilike ila nikirudi DSM hali inakuwa nzuri mno
Nguo - ukiifua zaidi ya mara 5 kama ni nyeusi mpauko utakao uona huwezi kuitamani hiyo nguo na rangi nyingine ni nafuu ila nyeusi ndio mwisho...
Naomba kufahamu taarifa hii. Kuna kipindi ilisemekana mabasi yameruhusiwa kusafiri usiku.
Je Dodoma - Dar upo? Ni saa ngapi na magari gani yanaroute hiyo?
Nawasilisha.
Dah...haya mambo ya kuhamishiwa mkoani Dom huku familia zetu tumeziacha Dar , yana changamoto sana...yaani hii kauli ya 'ofcourse I am married but some how available' nimeshakutana nayo zaidi ya mara tatu tangu nihamie Dodoma ni toka kwa akina mama/wanawake wenye ndoa zao lakini wamehamishiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.