A
Anonymous
Guest
GRACE HONDI TLUWAY ni mgonjwa ambaye alienda mchana wa Saa Saba katika Hospitali ya Magunga kwa ajili ya kupata matibabu na aliondoka bila kupatiwa dawa kwa madai ya mtandao.
Alipelekwa tena hospitali hapo Saa Tatu Usiku kwa ajili ya kupata matibabu baada ya hali kuendelea kuwa mbaya zaidi.
Walipofika walielekea pharmacy kupata dawa kwa kuwa shida yake inajulikana, nesi wa zamu Ms Mary Mkande alikataa kuwahudumia akidai kwamba hakuna mtandao lakini wakati huo akiwa anachezea YouTube na pia kadi ya bima ya Mgonjwa ikiwa imeshaingizwa na kusoma kama imetumika tangu mchana wake (Saa Saba mchana) lakini anakataa kumpa dawa mgonjwa.
Namba ya kadi ni hii #10190328….. (Grace HONDI Tluway imetumika Korogwe District Hospital (Magunga) 14/02/2024 01:16 PM Ref# 720422486207. Piga namba 199 iwapo hutambui muamala huu.)
MAONI
Hospitali hii imekuwa na changamoto kubwa sana hususani kwenye utoaji wa Huduma za Afya kwa Wananchi ikiwa ni pamoja na huduma ya upasuaji wakina mama wengi Wajawazito wamepoteza maisha kutokana na uzembe wa madaktari wakati wa upasuaji au siku tatu baada ya upasuaji mteja anavimba tumbo na mwisho wa siku anapoteza maisha hapa hospitali pafanyiwe uchunguzi wa haraka ili kuokoa wajawazito walio wengi.
Alipelekwa tena hospitali hapo Saa Tatu Usiku kwa ajili ya kupata matibabu baada ya hali kuendelea kuwa mbaya zaidi.
Walipofika walielekea pharmacy kupata dawa kwa kuwa shida yake inajulikana, nesi wa zamu Ms Mary Mkande alikataa kuwahudumia akidai kwamba hakuna mtandao lakini wakati huo akiwa anachezea YouTube na pia kadi ya bima ya Mgonjwa ikiwa imeshaingizwa na kusoma kama imetumika tangu mchana wake (Saa Saba mchana) lakini anakataa kumpa dawa mgonjwa.
Namba ya kadi ni hii #10190328….. (Grace HONDI Tluway imetumika Korogwe District Hospital (Magunga) 14/02/2024 01:16 PM Ref# 720422486207. Piga namba 199 iwapo hutambui muamala huu.)
MAONI
Hospitali hii imekuwa na changamoto kubwa sana hususani kwenye utoaji wa Huduma za Afya kwa Wananchi ikiwa ni pamoja na huduma ya upasuaji wakina mama wengi Wajawazito wamepoteza maisha kutokana na uzembe wa madaktari wakati wa upasuaji au siku tatu baada ya upasuaji mteja anavimba tumbo na mwisho wa siku anapoteza maisha hapa hospitali pafanyiwe uchunguzi wa haraka ili kuokoa wajawazito walio wengi.