DOKEZO Ajira walizotoa TAMISEMI, Januari 2024 hatujapata mshahara hadi leo na haieleweki lini tutalipwa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Habari za mchana.

Kuna ajira Tamisemi walizotoa mwezi wa kwanza walizoziita Mradi wa mama na mtoto zikiwa chini ya halmashauri.

Ajira zilimtaka mtumishi kwenda kuripoti katika halmashauri kwa mkataba wa Miaka miwili zikiwa zinasimamiwa na Tamisemi chini ya ufadhili wa Word Bank(WB) kwa Mradi ufamikao kama Tanzania maternal and child health initiative (TMCHIP)

Waajiriwa wapya Tumefanikiwa kuripoti katika vituo vya kazi ndani ya mwezi wa pili.

Hatujalipwa Mshahara wa mwezi wa pili wala Hela ya kujikimu.

Tumepokelewa katika mazingira magumu sana na Tunafanya kazi katika mazingira magumu.

Nimeamua kusemea Jamiiforum nadhani sauti Yetu kama Tukipaza itaweza kusikika.

Ahsante.
 
Habari za mchana.

Kuna ajira Tamisemi walizotoa mwezi wa kwanza walizoziita Mradi wa mama na mtoto zikiwa chini ya halmashauri.

Ajira zilimtaka mtumishi kwenda kuripoti katika halmashauri kwa mkataba wa Miaka miwili zikiwa zinasimamiwa na Tamisemi chini ya ufadhili wa Word Bank(WB) kwa Mradi ufamikao kama Tanzania maternal and child health initiative (TMCHIP)

Waajiriwa wapya Tumefanikiwa kuripoti katika vituo vya kazi ndani ya mwezi wa pili.

Hatujalipwa Mshahara wa mwezi wa pili wala Hela ya kujikimu.

Tumepokelewa katika mazingira magumu sana na Tunafanya kazi katika mazingira magumu.

Nimeamua kusemea Jamiiforum nadhani sauti Yetu kama Tukipaza itaweza kusikika.

Ahsante.
Tulia acha wenge mtalipwa.

Wenzenu tulikaa miezi kadhaa kabla ya kulipwa ila baadae tulianza kulipwa stahiki zetu.

Hata mwezi hauna tangu uwe kazini halafu unalia lia?.

Mimi niko kazini tena miaka mingi lakini hata hela ya kujikimu miaka hiyo wakati ninaanza kazi sijawahi pewa hadi leo ila maisha yanaenda.

Ukifikisha miezi mitatu hauelewi hatma yako hapo ruksa kulalamika.
 
Tulia acha wenge mtalipwa.

Wenzenu tulikaa miezi kadhaa kabla ya kulipwa ila baadae tulianza kulipwa stahiki zetu.

Hata mwezi hauna tangu uwe kazini halafu unalia lia?.

Mimi niko kazini tena miaka mingi lakini hata hela ya kujikimu miaka hiyo wakati ninaanza kazi sijawahi pewa hadi leo ila maisha yanaenda.

Ukifikisha miezi mitatu hauelewi hatma yako hapo ruksa kulalamika.
Utakuwa kada Ccm.

Unaongea kirahisi tu.
 
Tulia acha wenge mtalipwa.

Wenzenu tulikaa miezi kadhaa kabla ya kulipwa ila baadae tulianza kulipwa stahiki zetu.

Hata mwezi hauna tangu uwe kazini halafu unalia lia?.

Mimi niko kazini tena miaka mingi lakini hata hela ya kujikimu miaka hiyo wakati ninaanza kazi sijawahi pewa hadi leo ila maisha yanaenda.

Ukifikisha miezi mitatu hauelewi hatma yako hapo ruksa kulalamika.
Mkuu tunasaidia , Hatuko hapa kutengeneza matatizo
 
Habari za mchana.

Kuna ajira Tamisemi walizotoa mwezi wa kwanza walizoziita Mradi wa mama na mtoto zikiwa chini ya halmashauri.

Ajira zilimtaka mtumishi kwenda kuripoti katika halmashauri kwa mkataba wa Miaka miwili zikiwa zinasimamiwa na Tamisemi chini ya ufadhili wa Word Bank(WB) kwa Mradi ufamikao kama Tanzania maternal and child health initiative (TMCHIP)

Waajiriwa wapya Tumefanikiwa kuripoti katika vituo vya kazi ndani ya mwezi wa pili.

Hatujalipwa Mshahara wa mwezi wa pili wala Hela ya kujikimu.

Tumepokelewa katika mazingira magumu sana na Tunafanya kazi katika mazingira magumu.

Nimeamua kusemea Jamiiforum nadhani sauti Yetu kama Tukipaza itaweza kusikika.

Ahsante.
Kama umeajiriwa Mwezi January 26,
kulingana na Taratibu za Standing order....("Kanuni za kudumu za utumishi)..
Vetting mpaka kupewa Check # huwa inachukua Almost siku 21 mpaka 28,

(japo kwa sisi wa zamani ilikuwa inachukua mpaka Siku 90 na zaidi..)

So Hiyo inamaanisha kwamba Ajira yako Itasoma umeajiriwa Mwezi wa pili So obvious Utapata check # mwezi huu wa tatu na Taarifa zako za Mshahara zitaingizwa kuanzia Tarehe 5 mpaka Tarehe 15 mwezi huu..

Kuwa na subira..

Kipindi sisi tunaajiriwa serkalini tulikaa Miezi Sita tukila Posho tu

NB:Ajira hako haiwezi kusoma umeajiriwa mwezi wa kwanza itasoma imeajiriwa mwezi wa pili na ndo mwezi utaosoma Kufanyiwa Vetting na ndo mwezi rasmi utaanza Probation..
So Kuwa mvumilivu


Kama una swali nakukaribisha
 
mhh pole sana ulitaka ulipwe kabla hujafanya kazi? kwani ulipokua hujaajiriwa uliishije jifunze ukakamavu vijana mmekaa kizembe lala njaa siku tatu ndio ulie lie na hapo siku tano nyuma umekula nyama ya kenge mijusi sio unakula chipsi unaandika uzi...

kipindi nipo chuo kuna jamaa alipanga tulipokua tumepanga sisi wanachuo na yeye alikua kaajiriwa ndio mpyaaaaaaa haelewi hili wlaa lile mwanzo alianza kwa mbwembwe akijua hela inakuja tukimkaribisha cha usiku tumetoa kitu na mwanangu anatukataa ikafika stage akawa anatuomba tumstue muda wa kula badae akashika usukani alikuja kuchoka alipojua nyama tunazokula mda mwingine ni kenge au nungu nungu singida napapenda kuna kenge wengi kwenye mawe sisi kuwakamata na kutoa rost ni kitu ya kawaida.
jamaa akauliza kwann mnakula hivi hatukuwa na majibu ila tulimuuliza kabla hujajua si ulienjoy akabakikusema dah ndio maana nilikua nasita kula na nyie....

jamaa alipataga shavu akavutwa na wazungu now yupo Denmark anakula maisha alishatutumia picha ya kenge mkubwa anasema hatotusahau ilibidi nimuachie mwanangu tuliekua tunakaa hostel moja
 
Back
Top Bottom