Wakazi wa Hale tunashukuru kwa kuletewa kituo ambacho kitasaidia kwa kiasi kikubwa kusaidia wakazi wa maeneo yaliyo karibu yake.
Ila kweli Mzava, ndio tuletewe mganga (dokta) ambaye alikuwa na kesi ya ajabu ya kumfumua nyuzi mgonjwa aliyemshona kisa alikosa hela ya kumlipa kwa muda ule, maana mama wa watu alikuwa amepata ajali kule Kerenge.
Baada ya kuharibu Kerenge walimpa likizo huku akiendelea kula mshahara wake kama kawaida. Baadaye wakampa cheo kufanya kazi kule hospitali mpya na wakati wa uzinduzi kuna waliolalamika kuwa ukatili wake wa kukataa kutoa huduma kama huna hela uliendelea bila woga.
Sasa amekuja Hale wananchi watapona au wameletewa ugonjwa wa ziada?
Adhabu ya uhalifu ni kukabidhiwa kituo kipya?
Hatujasahau tunawaangalia tu.
Pia soma: Mapya yaibuka: Tukio la daktari aliyefumua mshono wa mgonjwa lilitokea mwezi Julai
Ila kweli Mzava, ndio tuletewe mganga (dokta) ambaye alikuwa na kesi ya ajabu ya kumfumua nyuzi mgonjwa aliyemshona kisa alikosa hela ya kumlipa kwa muda ule, maana mama wa watu alikuwa amepata ajali kule Kerenge.
Baada ya kuharibu Kerenge walimpa likizo huku akiendelea kula mshahara wake kama kawaida. Baadaye wakampa cheo kufanya kazi kule hospitali mpya na wakati wa uzinduzi kuna waliolalamika kuwa ukatili wake wa kukataa kutoa huduma kama huna hela uliendelea bila woga.
Sasa amekuja Hale wananchi watapona au wameletewa ugonjwa wa ziada?
Adhabu ya uhalifu ni kukabidhiwa kituo kipya?
Hatujasahau tunawaangalia tu.
Pia soma: Mapya yaibuka: Tukio la daktari aliyefumua mshono wa mgonjwa lilitokea mwezi Julai