A
Anonymous
Guest
Mnamo tarehe 10/02/2024 Hr wa kampuni ya ulinzi ya G1 security iliyopo upanga jijini dar es salaam mtaa wa kitonga,kwa kushirikiana na baadhi ya watendaji wengine,walijaribu kumuua mmoja wa aliyekuwa mfanyakazi wao katika nafasi ya supervisor aliyefahamika kwa jina KESI.
Mfanyakazi huyo alifika ofisini hapo kuchukuwa stahiki zake baada ya kampuni hiyo kuamua kumsimamisha kazi. Lakini matokeo yake hakupatiwa haki yake na aliambulia kushambuliwa vibaya sana.
Kesi hii ilifunguliwa jalada katika kituo cha polisi sarenda. Lakini hata hivyo haki ya mlalamikaji imepindishwa huku ikisadikika R.C.O kwa kushirikiana na baadhi ya askari wa kituo cha Central, wanashirikiana na G1 security katika kupoteza haki ya mfanyakazi huyo ambaye hata sasa bado hajapona.
Tunaviomba vyombo husika vifatilie ili haki ya mtanzania huyu mnyonge,ipatikane.
Mfanyakazi huyo alifika ofisini hapo kuchukuwa stahiki zake baada ya kampuni hiyo kuamua kumsimamisha kazi. Lakini matokeo yake hakupatiwa haki yake na aliambulia kushambuliwa vibaya sana.
Kesi hii ilifunguliwa jalada katika kituo cha polisi sarenda. Lakini hata hivyo haki ya mlalamikaji imepindishwa huku ikisadikika R.C.O kwa kushirikiana na baadhi ya askari wa kituo cha Central, wanashirikiana na G1 security katika kupoteza haki ya mfanyakazi huyo ambaye hata sasa bado hajapona.
Tunaviomba vyombo husika vifatilie ili haki ya mtanzania huyu mnyonge,ipatikane.