DOKEZO Gharama za kuegesha gari Hospitali ya Muhimbili ni kubwa na zinaumiza

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Kuna jambo la naona wengi tunalalamika ila hakuna linapofika.

Miezi kadhaa iliyopita Hospitali ya Muhimbili ilianzisha tozo za parking ambazo ilikuwa ukikaa chini ya nusu saa ni bure ila ukizidisha utalipa Shilingi 1,000 kama utakaa chini ya saa tatu.

Kisha wakasema ikiongezeka hapo kila baada ya saa mbili (Dakika 120) utalipia Shilingi 1,000 nyingine. Japo nayo ilikuwa ni ghali kiasi ila walau tulikuwa tunaweza kuimudu kwa kiwango flani.

Sasa hivi wamebadilisha tozo na imekuwa ukikaa chini ya nusu saa ni bure ila ukizidi kila saa moja unalipia Shillingi 1000.

Just imagine kuna huduma gani unaweza kwenda kuifata Muhimbili na ukatumia dakika 20?

Ukienda na mgonjwa wako pale iwe anaumwa au clinic jiandae kupoteza zaidi ya saa tano na pengine inaweza kiwa siku nzima.

Sasa hii inakuwaje, Hospitali ya Serikali tena ya Taifa inatoza wagonjwa wake parking fees zilizo ghali hivi? Hatukatai kuweka parking charges ila hizi zilizobadilishwa sasa ni kali, uwezekano wa kuacha Shilingi 12,000 kila siku ukienda kupata huduma ni mkubwa.

Soma pia Wanaopaki magari Hospitali ya Muhimbili kuanza kulipia
 
Na kadri siku zinavokwenda watanogewa zaidi na watapandisha zaidi maana hakuna wa kututetea kwa sasa
Hali itakuwa mbaya uchumi mgumu na ukiwa na mgonjwa inagharimu sana.
...Gharama ni kubwa....lakini tuangalie pia wale Waliokuwa Wana park Hapo, Kisha wanaenda mjini kufanya shughuli zao Siku nzima...Kwa Gharama ya Muhimbili !!!

Sent from my TECNO BD4j using JamiiForums mobile app
Kuwa na wanaopaki na kuendelea na shughuli zao town isiwe sababu ya kuweka gharama kubwa kupata huduma hiyo, ni mzigo kwa wengine.
 
Kuna jambo la naona wengi tunalalamika ila hakuna linapofika.

Miezi kadhaa iliyopita Hospitali ya Muhimbili ilianzisha tozo za parking ambazo ilikuwa ukikaa chini ya nusu saa ni bure ila ukizidisha utalipa Shilingi 1,000 kama utakaa chini ya saa tatu.

Kisha wakasema ikiongezeka hapo kila baada ya saa mbili (Dakika 120) utalipia Shilingi 1,000 nyingine. Japo nayo ilikuwa ni ghali kiasi ila walau tulikuwa tunaweza kuimudu kwa kiwango flani.

Sasa hivi wamebadilisha tozo na imekuwa ukikaa chini ya nusu saa ni bure ila ukizidi kila saa moja unalipia Shillingi 1000.

Just imagine kuna huduma gani unaweza kwenda kuifata Muhimbili na ukatumia dakika 20?

Ukienda na mgonjwa wako pale iwe anaumwa au clinic jiandae kupoteza zaidi ya saa tano na pengine inaweza kiwa siku nzima.

Sasa hii inakuwaje, Hospitali ya Serikali tena ya Taifa inatoza wagonjwa wake parking fees zilizo ghali hivi? Hatukatai kuweka parking charges ila hizi zilizobadilishwa sasa ni kali, uwezekano wa kuacha Shilingi 12,000 kila siku ukienda kupata huduma ni mkubwa.

Soma pia Wanaopaki magari Hospitali ya Muhimbili kuanza kulipia
TUMIA 'PUBLIC TRANSPORT' UNAPOENDA MUHIMBILI!
... 'PARKING SPACE' NI NDOGO NA NJIA PEKEE YA KUPUNGUZA VI'IST' VISIVYO NA AJENDA NI KUFUMUA TOZO YA KUVIPAKI!
 
Shida kuna wahuni wanapark magari pale kisha wanaenda kwenye harakati nyingine.

Labda kusaidia haya, ingebidi watengeneze system ya magari iendane na mgonjwa.
Yaani nikiingia pale, kisha nikaemda msajili mgonjwa wangu, ioneshe ni muda gani mgonjwa wangu alikuwa anatibiwa, wakati wa kutoka gari ikimulikwa kisha natia namba za mgonjwa mfumo unanikadiria,
Hii itasaidia kujua wanaofanya muhimbili ni sehemu ya parking tu.
maana kuna wengine ni sababu ya ugonjwa, mfano unaweza ukaenda pale kitengo cha moyo, zamani kipindi dawa wanatoa(unamchukulia mtu dawa) unaweza ganda mpaka masaa mawili kwa ajili tu ya kumchukulia mtu dawa
 
TUMIA 'PUBLIC TRANSPORT' UNAPOENDA MUHIMBILI!
... 'PARKING SPACE' NI NDOGO NA NJIA PEKEE YA KUPUNGUZA VI'IST' VISIVYO NA AJENDA NI KUFUMUA TOZO YA KUVIPAKI!
Una akili sana umeliona hilo

Hata mi nnaona wanajaribu kuwavunja moyo wa watu kupenda kwenda na magari yao Muhimbili....... lakini wamebakia sensitive enough kuwasikiliza wanaopeleka au kufuata mgonjwa chaap na kuondoka (chini ya nusu saa)

Kwa kifupi hawataki pawe kero parking space bali watu waje na kuondoka. Na kama hawataki kuja na kuondoka basi wajilipie gharama za kupaki.

Mi nnaona sahihi tu

Halafu uliyeshauri eti waangalie nani ni mgonjwa na nani ni mgeni. Hivi unawezaje kusimamia utaratibu wa namna hiyo? Sasa wenye magonjwa ya kudumu itakuwaje? Mtu akimwambia mlinzi nnaumwa kichwa mlinzi atajuaje🤨. Bora tu waweke hela mingi halafu hayo mengine watu watajirekebisha wenyewe
 
Kuna jambo la naona wengi tunalalamika ila hakuna linapofika.

Miezi kadhaa iliyopita Hospitali ya Muhimbili ilianzisha tozo za parking ambazo ilikuwa ukikaa chini ya nusu saa ni bure ila ukizidisha utalipa Shilingi 1,000 kama utakaa chini ya saa tatu.

Kisha wakasema ikiongezeka hapo kila baada ya saa mbili (Dakika 120) utalipia Shilingi 1,000 nyingine. Japo nayo ilikuwa ni ghali kiasi ila walau tulikuwa tunaweza kuimudu kwa kiwango flani.

Sasa hivi wamebadilisha tozo na imekuwa ukikaa chini ya nusu saa ni bure ila ukizidi kila saa moja unalipia Shillingi 1000.

Just imagine kuna huduma gani unaweza kwenda kuifata Muhimbili na ukatumia dakika 20?

Ukienda na mgonjwa wako pale iwe anaumwa au clinic jiandae kupoteza zaidi ya saa tano na pengine inaweza kiwa siku nzima.

Sasa hii inakuwaje, Hospitali ya Serikali tena ya Taifa inatoza wagonjwa wake parking fees zilizo ghali hivi? Hatukatai kuweka parking charges ila hizi zilizobadilishwa sasa ni kali, uwezekano wa kuacha Shilingi 12,000 kila siku ukienda kupata huduma ni mkubwa.

Soma pia Wanaopaki magari Hospitali ya Muhimbili kuanza kulipia
Wengi hamjui kuwa gharama hizo zinazingatia pia udhibiti wa magonjwa ya kuambukiza kupitia vyombo vya moto.
 
KIZIMKAZI Hana muda na watanganyika. Kama kilio cha kupanda sukari Yuko kimya na kazibwa mdomo na wafanya bznes. YY anawaza uchaguzi w mtaa basi. Tuamke watanganyika
 
Back
Top Bottom