Mmekipa chadema umaarufu zaidi. Mbali nakutumia vibaya kodi zetu. poleni ccm na serikhali yake kwa ujumla....mnavyo fanya ivi mnazidi kujenga chuki na wananchi.
Alichofanya uyo mwanamke ni funzo kwa uyoo jamaa ako asije kurudia swala la aibu kama hilo. Iyo fedha alikuwa anamsomesha na mambo mengine kwanini asingetumia kwa familia yake. Unakuta familia inakula kwa tabu lakini kimada kinakula vizuri kinavaa vizuri. Hiyo itawasaidie familia yake ile fedha...
Aise apo kazi unayo. Ebu jaribu kumuuliza wakat mnapo maliza kufanya game kama umemridhisha.... kama ndugu yangu unawai kumwaga maji nalo linaweza kuwa tatizo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.