Hatimaye Mbowe apewa dhamana

Hatimaye Mbowe apewa dhamana

There are currently 300 users browsing this thread. (91 members and 209 guests)

naona watu wanazidi kujaa, ingekuwa poa sana waarusha mngetuwekea mapicha bana,
 
Acheni ushabiki. Amri ngapi za mahakama hazijatekelezwa na serikali yenyewe? Kesi kama ya Varambia serikali imeshindwa zaidi ya mara 10 mahakamani na imetakiwa kulipa, lakini haijafanya hivyo. Sasa kwa Mbowe imekuwaje?
 
Wanachadema let us focus on budget now....hawa wanataka tuamishe akili zetu kwenye swala kumkamata mwenyekiti wetu. Tusahau budget.
 
HTML:
Jeshi la polisi limeisha yapiga marufuku nchi nzima, nenda kaandamane sasa uone cha mtema kuni !

Hivi yale magari ya washawasha yako mangapi nchi nzima? maana ukiyalipua hayo, polisi hawana nguvu tena (just thinking twice)
 
Jeshi la polisi limeisha yapiga marufuku nchi nzima, nenda kaandamane sasa uone cha mtema kuni !

You have to think twice before you spat your rubbish!Kama hujui kufa tazama kaburi! Uliza nini kimetokea huko Tunisia,Misri,Libya,Yemen,Saudia n.k.

Upumbaf,ujinga na unyanyasaji wa Wabunge na Viongozi wa Kambi ya Upinzani wanaoufanya Polisi na Mahakama kwa kujifanya ni VIJIBWA wanaotumwa na serikali ya CHAMA CHA MAGAMBA,MAJAMBAZI na MAFISADI utakuja watokea puani this time.

Hawana risasi za kuwaua mamilioni ya Watanzania waloko nyuma ya CHADEMA.

Kila jambo huwa lina mwanzo na mwisho. Sasa Serikali ya Rais Kiwete tunaiambia hivi huu ni MWANZO MWISHO.Tunajua Kiwete anahusika moja kwa moja na kamata kamata ya viongozi na Wabunge wa upinzani ni ya makusudi ili kutaka kuvuruga nguvu ya Upinzani kwenye Bajeti inayokuja ya 2011/2012.

Hatukubaliani na upuuzi huu.
 
Sasa atatia adabu, halafu mwambieni arudie tena akione cha mtema kuni kilichomtoa kanga manyoya.
 
Acheni ushabiki. Amri ngapi za mahakama hazijatekelezwa na serikali yenyewe? Kesi kama ya Varambia serikali imeshindwa zaidi ya mara 10 mahakamani na imetakiwa kulipa, lakini haijafanya hivyo. Sasa kwa Mbowe imekuwaje?

Kaitie ndani Serikali.
 
Awe makini sana na aina ya usafiri huu, maana wabaya wake ni rahisi sana kummaliza kwa style yankumtumbukiza kwenye mtaro. Au yaka mtokea yaliyompata mpambanaji wetu Pasco.

Mvumbuzi forget about this thing called thinktwice she can't think twice!
 
We fisi, usitufundishe uoga. Kwani polisi ndio nani? Kama wameacha kazi ya ya msingi na kuwa jeshi la ccm; we unategemea nini? Kwa hiyo hata polisi wakiua na kubaka familia yenu hutadai haki eti kwa kuwa watakuwa wamekupiga marufuku kudai haki?

Nenda kaandamane tukufanye kitu kibaya ambacho utajutia hata wazazi wako kukuzaa ! si umeona wakina Mbowe, Lissu nk tulivyowafanya, bado wewe sasa . Na sio kwamba tunakutisha
 
Waandishi wa habari TBC1 hawapendwi na hawatakiwi na sisi wananchi Arusha.Leo wamechukua habari wakiwa ndani ya defender za polisi chini ya ulinzi mkali na Kama wangeonekana chini wangepotezwa mafisadi wakubwa
 
You have to think twice before you spat your rubbish!Kama hujui kufa tazama kaburi! Uliza nini kimetokea huko Tunisia,Misri,Libya,Yemen,Saudia n.k.

Upumbaf,ujinga na unyanyasaji wa Wabunge na Viongozi wa Kambi ya Upinzani wanaoufanya Polisi na Mahakama kwa kujifanya ni VIJIBWA wanaotumwa na serikali ya CHAMA CHA MAGAMBA,MAJAMBAZI na MAFISADI utakuja watokea puani this time.

Hawana risasi za kuwaua mamilioni ya Watanzania waloko nyuma ya CHADEMA.

Kila jambo huwa lina mwanzo na mwisho. Sasa Serikali ya Rais Kiwete tunaiambia hivi huu ni MWANZO MWISHO.Tunajua Kiwete anahusika moja kwa moja na kamata kamata ya viongozi na Wabunge wa upinzani ni ya makusudi ili kutaka kuvuruga nguvu ya Upinzani kwenye Bajeti inayokuja ya 2011/2012.

Hatukubaliani na upuuzi huu.

Si unaona akili yako ilivyo fupi, una uhakika gani kwa upuuzi huu Mbowe alio ufanya watanzania wako pamoja na Chadema ? afuate sheria na msilete visingizo sijui vya bajeti sijui nn , hamna lolote. Nenda kaandamane uone , mmeo na watoto wako watakulilia maisha
 
Ehe, sasa kulikuwa na maana na uharaka gani wa kumpeleka kwa ndege na ulinzi mkali alfajiri na mapema vile; na wengine humu JF wakatabiri kuwa atakula miezi mitatu mikavu!!!??????
 
Hii ni mchezo wa siasa tu. tangu lini polisi wakaheshimu mahakama.
 
Peoplesssssssssssss!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Power!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom