Tuondolee bangi zako hapa,Sijapenda ndoto niliyoota leo. Eti nimeota ndoto kwamba Polisi wakiwa wanamsafirisha Mbowe njiani walimpiga sumu ya Kumuua taratibu in some few years to come bila yeye kujijua. Kama kuna roho kama hii ishindwe
Tuondolee bangi zako hapa,Sijapenda ndoto niliyoota leo. Eti nimeota ndoto kwamba Polisi wakiwa wanamsafirisha Mbowe njiani walimpiga sumu ya Kumuua taratibu in some few years to come bila yeye kujijua. Kama kuna roho kama hii ishindwe
Wakuu samahanini, nakumbuka kuna amri ya kumkamata Mr Chenge ilitolewa na Sundi Fimbo, hivi ilikuwaje tena, coz alijisalimisha au kuna kipengele kilikuwa kimekosewa ? Kwa wenye kumbukumbu naombeni rekodi...
kubwaa ji*g*Kwa jinsi alivonyea debe nadhani siku nyingine dharau atapunguza
Viongozi wa CHADEMA kwa uelewa wao wa sheria na nafasi yao katika Nchi na jamii hawapaswi ku-behave hivi. Wanatukatisha tamaa.
Kwa jinsi alivonyea debe nadhani siku nyingine dharau atapunguza
Kutokana na udhalilishaji wa vyombo vya dola na viile vya sheria dhidi ya haki za watanzania maandamano ya kukosa imani na sekali nchi nzima yaendelee. Hatuna na imani na serkali isiyojali watu wake. Mauaji ya wananchi mikononi mwa jeshi la polisi, rushwa polisi na mahakamani na kutowapa watu haki zao za msingi. PIPOZZZZZ
yaani maandamano lazima ....yaani this time nabeba familia nzima tukaandamane ..serikali gani hii ina makengeza na spika haongei lolote ana kazi ya kujikuna kuna tu
we ni kidudu-mtu au kifutu? Au vyote kwa pamoja.hiyo nduge ya raisi wenu yenyewe FEKI,au hujui,hiyo sio ndege ya kumbebea MBOWE,ni ya kum bebea mhuni wenu.
hujui sheria umejaa chuki2, mpu*z* mkubwahawezi kurudia tena upuuzi wake..wangemlamba hata mwezi mmoja dah..
Raisi wa inchi nje ya ikulu.DR.SLAA jana alisema Mbowe aachiwe huru.Hakimu ametii amri kwa mda wa Dakika 45 baada ya kuingia mahakamani Mbowe yupo huru.
</P>nani asingekaa?? msitume post hizi mkiwa kilwa, bado kama kufa wangekufa wananchi tu, in the name of politics, mtu kafanya uzembe wa kutoenda mahakamani, watu kama wewe wanarukaruka wakisema ni mpambanaji! you have to think twice!</P>
<P> </P>
<P>muda umepotea bure na situation kama hizi two things may happen, credibility ya chama kupanda au kushuka vibaya mno! </P>
<P> </P>
<P>guess what??
Mbona alipolazwa sakafuni hamkuchoma kituo moto ? lengo limetia mlisema hakamatiki sasa yuko wapi, amekamatwa na amepelekwa kunako takiwa
Ndiyo lema ni mbuge lakini si kiongozi wa kambi bungeni kama alivyo mheshimiwa Mbowe.majukumu ya mbowe yanatofatiana sana na ya kamanda Lema.tofautisha vyeo wewe!Mkuu G Lema ni mbunge vile vile !.
Eti huyu naye ni great thinker kwenye sheria hakuna kitu kinaitwa msimamo mkali ni kufuta sheria tu hizi siyo kama imani kali za kimjahidina na siasa kali.I think hakutegemea haya yote!
kuna mahakimu na majaji sio wa kuwachezea kabisa!! wana misimamo mikali sana.
At least watu waone tofauti ya siasa, askari na mahakama!