menny terry
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 509
- 667
kwenu wana jamvini hapa home kuna mchiz wangu tokea long time ameona na ana mtoto mmoja na mkewe wametoka mbali mno but kadem flani ambacho kanaishi maisha ya kubangaiza kalijenga ukaribu sana na mshikaji wangu and kaka msimulia juu ya life yake na mamaake wakapatana na mshikaji awe mke wa pili kisiri then after jamaa akakapangishia nyumba na kila kitu na college akakaanzisha now on kamemaliza college na kaz kamepata kama secretary but chakushangaza kapata bwana mwingine yaani kijana mwenzie coz jamaa alie mtoa ni mtu mzima kwa hiyo hamtaki.kinacho muumiza mshkaji wangu ni kwamba amemtoa mbali huyu binti ushauri tafadhali.