Kwa hiyo Mkuu wa mkoa wa Mbeya ambaye yeye hakuvaa nguo zinazoshabihiana na rangi za chama hamuwakilishi Rais? Kumwakilisha Rais sharti uvae kichama-chama?
Kuna baadhi ya wakuu wa mikoa na wilaya ambao huvaa nguo zinazoshabihiana na rangi za bendera ya chama tawala wakati wa kuwapokea viongozi wa kichama. Hivi ni halali wao kufanya hivyo na hasa ukizingatia wao ni wanaongoza wananchi wote bila kujali itikadi za vyama? Picha kushoto ni Mkuu wa mkoa...
MKAZI wa Kijiji cha Mohoro amepeleka malalamiko kwa mwenyekiti wa kijiji hicho akiomba apewe ushauri wa nini cha kufanya baada ya mwanawe wa kiume kufaulu mtihani wa darasa la saba wakati hajui kusoma na kuandika.Akizungumza katika kikao cha Kamati ya Maendeleo ya Kata ya Chumbi...
Perry: Marines in video are 'kids,' not criminals
WASHINGTON (AP) - Republican presidential hopeful, Texas governor Rick Perry, is accusing the Obama administration of "over-the-top rhetoric" and "disdain for the military" in its condemnation of a video that purportedly shows Marines urinating...
Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi (Cuf), Maalim Seif Sharif Hamad, amesema ni muhimu kwa sasa Zanzibar kuwa na benki kuu yake ikiwa inataka kutumia kikamilifu rasilimali zake kujenga uchumi wake.
Maalim Seif ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, akizungumza katika viwanja vya...
Kama kumbukumbu zangu ni sahihi huwa kuna kitengo cha maafa ambacho kiko chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu. Tangu tupate janga la mafuriko sijasikia pilikapilika za kitengo hiki. Ningetarajia kuwa kingekuwa msitari wa mbele katika kuongoza/kuratibu shughuli nzima ya kusaidia waathirika wa mafuriko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.