rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
Wasomi naomba msaada hapa.
Nimemfatilia sana Rais wa nchi hii na kugundua kuwa ni mtu ambaye hakumaliza masomo yake ya secondary, nimemfatilia kwenye hotuba aliyotoa wakati anaongea na wazee wa ccm wa dar ilionekana kama ni msomi sana,lakini nimemfatilia tena kwenye hotuba yake jana kwenye TBC wakati anaongea na madaktari wa hapa nchini na wa kimataifa,kwa kweli inaonekana wazi kuwa anapwaya sana,swali langu kama kweli ana degree na wale madaktary wana degree kama yeye kwa nini akose confidence kabissa?mbona alikuwa na confidence wakati anaongea na wazee wa jiji la dar??
Nimemfatilia sana Rais wa nchi hii na kugundua kuwa ni mtu ambaye hakumaliza masomo yake ya secondary, nimemfatilia kwenye hotuba aliyotoa wakati anaongea na wazee wa ccm wa dar ilionekana kama ni msomi sana,lakini nimemfatilia tena kwenye hotuba yake jana kwenye TBC wakati anaongea na madaktari wa hapa nchini na wa kimataifa,kwa kweli inaonekana wazi kuwa anapwaya sana,swali langu kama kweli ana degree na wale madaktary wana degree kama yeye kwa nini akose confidence kabissa?mbona alikuwa na confidence wakati anaongea na wazee wa jiji la dar??