Khaa kamanda Uli alishtuka kwani aliona wanataka kumfanya kndomyupo ikulu ni dr wa ikulu anakula bata tu
Kimya sana ..... Labda atarudi.
unamzungumzia yule jamaa aliyengolewa meno kwa plier bila ganzi?
huyo hyo alikula kichapo cha nguvu waka mngoa meno yte na kcha ..... .hao hao wakampeleka nje kmtibu heheheh wakamrudisha wakamtiaaa mahela naona katuliaaaa....serikali kiboko usishindane naye kwikwimwiUnamzungumzia yule jamaa aliyengolewa meno kwa plier bila ganzi?
acha kimbelembele wewe kwanini umuongelee mtu na mwenyewe yupo! Mbinu.za kina mbowe na slaa kumtumia kijinga kazistukia.
... tena yupo bungeni kupitia kundi la walioteswa Mabwepande!Yupo Bunge la katiba. Kwani hujamuona? Sema tu haongei.
Khaa! Kweli atarudi 2015 na kutupa full muvi mwanzo mwisho jinsi alivyotekwa na "usalama"
Khaa!!! Mie nimesikia tuu :baby:Una uhakika na ulichokiandika.? Au unataka kuvunja amani. Chunga sana bwana mdogo. Fanya mambo yako na mambo ya usalama wa Taifa waachie wenyewe. Ni ushauri tu.
acha uchuro wewe.labda kafa
acha kimbelembele wewe kwanini umuongelee mtu na mwenyewe yupo! Mbinu.za kina mbowe na slaa kumtumia kijinga kazistukia.