Kwa mpangilio kadri ya ulivyouliza ni saa 10-11 alfajiri,12-5 asubuh,6-8 mchana,9 adhuhuri,10alasiri,11-01jioni,02-05 usiku,06-09usiku wa manane.Kwa wanaofahamu naomba mnijuze ALFAJIRI, ASUBUHI, MCHANA, ALASIRI, JIONI, USIKU, USIKU WA MANANE ni kuanzia saa ngapi hadi saa ngapi?
Mbona mnanichanganya sasa wadauMpangilio uko hivi~ Saa 10-11 Alfajiri, 12-3 Asubuhi, 4-5 Adhuhuri, 6-8 Mchana, 9-10 Alasiri, 11-1 Jioni,
2-6 Usiku, 7-9 Usiku wa Manane. NI SAA ZA KISWAHILI,
Hii usiku wa manane, kwa mtazamo wangu inachukuliwa kama kivumishi cha usiku mzito yaani zaidi ya saa sita.
Lakini kawaida kuanzia saa mbili hadi saa tisa ni usiku.
Tusubiri wataalamu wenyewe waje.
Kwa mpangilio kadri ya ulivyouliza ni saa 10-11 alfajiri,12-5 asubuh,6-8 mchana,9 adhuhuri,10alasiri,11-01jioni,02-05 usiku,06-09usiku wa manane.
Saa ziko Kiswahili!
Saa 10-12 ALFAJIRI,Saa 1-5 ASUBUHI,Saa 6-8 MCHANA,Saa 9-10 ALASIRI,Saa 11-1 JIONI,Saa 2-6 USIKU 8-9 USIKU WA MANANE
Mimi piaNafufua huu uzi ten wajuzi njoon
Adhuhuri sio jioni?Mpangilio uko hivi~ Saa 10-11 Alfajiri, 12-3 Asubuhi, 4-5 Adhuhuri, 6-8 Mchana, 9-10 Alasiri, 11-1 Jioni,
2-6 Usiku, 7-9 Usiku wa Manane. NI SAA ZA KISWAHILI,
Hii usiku wa manane, kwa mtazamo wangu inachukuliwa kama kivumishi cha usiku mzito yaani zaidi ya saa sita.
Lakini kawaida kuanzia saa mbili hadi saa tisa ni usiku.
Tusubiri wataalamu wenyewe waje.