mwikumwiku
Senior Member
- Jul 15, 2011
- 153
- 35
madamu ina maana kila siku we uko kwenye naniiiiii tuuu, mbona pumba kila siku. Kamuone dr sio kitu cha kawaida hicho, mi huwa najua maximum ni siku t*n*, we mbona umepitiliza?
Hii ni lugha ya maudhi! Si uungwana hata kidogo! Mods why do you allow this!