Kero kunako 6 kwa 6

Kiraka Kikuu

JF-Expert Member
Oct 3, 2011
5,904
1,976
Hivi kwa nini kunako 6 kwa 6 baadhi ya watu wanakera sana?
Utakuta mtu ametoka na mtu wake,halafu wameingia kutiana mshawasha
kwenye nyumba za kupanga uswahilini!
Halafu unakuta mdada anapiga kelele utadhani anachinjwa,au mwanaume ananguruma kwa
nguvu utadhani simba dume linamnanihii jike!
Jamani,inafaa kukumbuka kwamba kwenye majumba kuna watoo,na kwa nyumba za kupanga
uswahilini vyumba vimeumana!
Ni busara kubalanca maraha bila kusumbua watu wengine
 
hahahahahah
pole sana inaelekea wamekukwazaaaaaa
na usikute wamekesha na makelele yao ya mahaba...

siku nyingine wakianza tu chukua sarafu ya mia mbili kagonge mlango wao wakifungua wasifungue waambie waache makelele
hata kama ni saa tisa usiku kawagongeee
hawatarudia tena loh...
 
Wengine wanashindwa kuji-control....wengine ni makusudi....wengine ......wengine..... wengine....
 
ni kweli kabisa, unapokula raha hata kama upo kwenyechumba chako angalia usimkwaze mtu mwingine.
 
Jamani raha ina mwisho? Ukipata raha ujibane? ebo?
Nani wa kumkwaza mwenzake anayejiachia kwa raha zake au anayepiga chabo ya sikio!
Ngumu sana kwenda kwa mjumbe kumshitaki jamaa, maana wako ndani kwao....ingawa wanakosa ustaarabu.


Wengine wakiingiziwa tu ni balaa.....
Wengine wanawakoga jirani zao kwamba wao ni watamu sana, wapenzi wao wanazimia...
Wengine wanataka majirani wajue wao ni mafundi...
Mixture of everything.....
At the end of the day ni kuhama tu uswahilini, hayo hayawezi kuisha!
 
Wengine wanashindwa kuji-control....wengine ni makusudi....wengine ......wengine..... wengine....

Weeengine ni mizukaa...wengine ndo jini mahaba ndo keshapanda kichwaani tena hapo mpaka huo mzuka ushuke then ujue kaipata dawaa yake sawiiiia..... Wengine ndo wanataka kuwarusha roho mtaa wa saba..ahhahhaaa,inahuuuuu...
 
Weweweweee kulia kuna raha yake wacheni walie tu we stim zikikupanda tafuta ngoma nawe ukacheze ila kwa hakika wengine ni ngumu kujizuia.
 
Ni kweli mkuu!Lakini ebu fikiri mtoto mdogo anaamka na kudhani kuna hatari chumba cha baba na mama,kisa...maloveee!!!!!
TOFAUTI KUBWA YA HAYAWANI NA BINADAMU NI KWAMBA BINADAMU ANAO UWEZO WA KU-KONTROO HISIA ZAKE
 
Hivi kwa nini kunako 6 kwa 6 baadhi ya watu wanakera sana?
Utakuta mtu ametoka na mtu wake,halafu wameingia kutiana mshawasha
kwenye nyumba za kupanga uswahilini!
Halafu unakuta mdada anapiga kelele utadhani anachinjwa,au mwanaume ananguruma kwa
nguvu utadhani simba dume linamnanihii jike!
Jamani,inafaa kukumbuka kwamba kwenye majumba kuna watoo,na kwa nyumba za kupanga
uswahilini vyumba vimeumana!
Ni busara kubalanca maraha bila kusumbua watu wengine
sooo true....................... waache uzembe huo bana.
 
YAAH MKUU,NINACHOZUNGUMZIA HAPO NI USTAARABU!
HUWEZI AMINI JANA KUNA MTOTO AMETOKA USIKU SAA SABA USIKU HIVI
NA KUANZA KULIA MLANGONI MWA CHUMBA CHA WAZAZI WAKE HAPA MANZESE,AKIDHANI MAMA ANAKATA ROHO
KUMBE Raha zimemzidi!!!!
 
Back
Top Bottom