Nyangwine wa Mkwawa complex ?, nakumbuka Majembe ilikuwa ndiyo ya Wasichana, kama ni uzao wa Mkwawa kwanini hana utetezi kwa wapiga kura wake, ila poa tuu, apate kichapo naamini kinatoka pande zote mbili za waliomchagua kwa maana wameshamchoka,na ambao hawakumchagua
Hiyo ndiyo demokrasia ya kweli.