Nimetimuliwa na baba mkwe

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,883
155,856
Nina mchumba ambaye nimemchumbia na tuko kwenye mikakati ya kufunga ndoa hapo mwezi wa sita mwakani.
Jana jioni nilitoka na mchumba wangu kwa ajili ya matembezi ya jioni.
Nlipofika nyumbani kwao nikamkuta babake yupo kibarazani na mama yake.
Nikawasalimia lakini baba hakuitikia, akaanza kunigombeza kuwa mimi ni kapuku na sina vigezo vya kumuoa mwanae, akaniambia hapo hapo ulipo, toka nje.
Nikafungua geti na kuondoka.
Binti akawa nanipigia simu haongei chochote analia tuu.
Je niendelee na uhusiano huu au nijiondokee na umasikini wangu/
 
jamani pole sana, mambo ya uhusiano sometimes ni magumu na yana complications nyingi. Cha msingi usikilize moyo wako wewe uamue. Iwapo utaamua kuendelea naye ipo tu siku mzee ataelewa kwani mapenzi ukihusisha na utajiri haviendi. Iwapo utaamua kutoendelea naye, mueleze ukweli kabisa bado mapema ili aumie roho lkn atazoea.

Ila napata utata kidogo hapa, hadi mmefikia hatua ya kupanga kuoana mwezi wa sita mwakani, baba alikuwa hajashirikishwa? au mmejipangia nyie wawili kwanza? Maana kama alishirikishwa na kuridhia kuwa uwe mkamwana wake, asingekugeuka.
 
Yeye baba mkwe ndiye aliyepokea mahari, nashangaa sijui siku zote hakuuona ufukara wangu ?
jamani pole sana, mambo ya uhusiano sometimes ni magumu na yana complications nyingi. Cha msingi usikilize moyo wako wewe uamue. Iwapo utaamua kuendelea naye ipo tu siku mzee ataelewa kwani mapenzi ukihusisha na utajiri haviendi. Iwapo utaamua kutoendelea naye, mueleze ukweli kabisa bado mapema ili aumie roho lkn atazoea.

Ila napata utata kidogo hapa, hadi mmefikia hatua ya kupanga kuoana mwezi wa sita mwakani, baba alikuwa hajashirikishwa? au mmejipangia nyie wawili kwanza? Maana kama alishirikishwa na kuridhia kuwa uwe mkamwana wake, asingekugeuka.
 
Nina mchumba ambaye nimemchumbia na tuko kwenye mikakati ya kufunga ndoa hapo mwezi wa sita mwakani.
Jana jioni nilitoka na mchumba wangu kwa ajili ya matembezi ya jioni.
Nlipofika nyumbani kwao nikamkuta babake yupo kibarazani na mama yake.
Nikawasalimia lakini baba hakuitikia, akaanza kunigombeza kuwa mimi ni kapuku na sina vigezo vya kumuoa mwanae, akaniambia hapo hapo ulipo, toka nje.
Nikafungua geti na kuondoka.
Binti akawa nanipigia simu haongei chochote analia tuu.
Je niendelee na uhusiano huu au nijiondokee na umasikini wangu/

Baba analamba mwanae
Kakuonea wivu tu teh yteh tehe
 
Labda huyo dingi amegundua kuwa kwenu mna element za uchawi au magonjwa ya kurithishana ndio maana ameamua kukupiga chini.
 
demu anakupenda san
baba hausiki cz labda anataka wa mahela meng na wewe huna BT CHA MSING DEMU AMEKUKUBALI KWA HALI ULIYONAYO SO POA WE ENDELEA
USIWE NA MAWAZO YA KUMUACHA DEMU CZ HANA MAKOSA HATA KIDOGO utampa adhabu isiyostahili..
ayo mawimbi tu...endelea kushikamana na demu ba mkwe atainua mikono juu km mkionyesha msimamo....MKWE MCHAGA AU MUHAYA?
 
Inaelekea umelipa mahari kidogo tofauti na mlivyokubaliana, kwa hiyo unaonyesha unataka mtoto wa watu bure Kama wewe ni fukara omba upewe bure.:target:
 
Baba mkwe keshachukua mahari and then unataka ujiondokee??!!
Duh! umetoa mahari mapema sana,pia isijekuwa ndo kamchezo kao kuchukua mahari za watu na kuanza vi2ko!!!
Bulaza komaa, kama hawataki chukua chako mapema usepe!!
 
Hivi nini maana haswa ya neno mahari?
Mi nadhani wazazi ndio wanapanga mahari kisha muoaji analipa kile kilichopangwa na wazazi, how come dogo awe amelipa tofauti na alichopangiwa?
Inaelekea umelipa mahari kidogo tofauti na mlivyokubaliana, kwa hiyo unaonyesha unataka mtoto wa watu bure Kama wewe ni fukara omba upewe bure.:target:
 
nimelipa mahari yote hadi watu wakawa wanasema sio vizuri kulipa mahari kwani wakwe watasema najionyesha uwezo wangu, sasa najuata kwelikweli
Baba mkwe keshachukua mahari and then unataka ujiondokee??!!
Duh! umetoa mahari mapema sana,pia isijekuwa ndo kamchezo kao kuchukua mahari za watu na kuanza vi2ko!!!
Bulaza komaa, kama hawataki chukua chako mapema usepe!!
 
Kaka huna kabati ya mbeo na redio ya picha.... Ohoo pole sna tupilia mbali tafuta mwingine kama ni mahali hela ni makaratasi hasara roho!
 
Ongea na huyo binti muelewane msimamo wenu ni upi.
Nyie wawili ndio wa kuyasimamia maisha yenu.
 
niliwahi kukumbwa na mkasa kama huu ........ila kwangu alikuwa ni mama mkwe...........
ilikuwa balaa sana sitasahau......kikubwa binti awe upande wako...kuna wazaz wanajudge the ice by its peak!!!!

akikuona tu anajua uko kapuku kumbe...............!
 
wiki mbili zilizopita kuna rafik yangu alikuwa anafunga ndoa.....siku ya harusi ilipofika si kuna ile maharusi wanaenda saluni asubuhi then saa nane ndo ndoa inafungwa...basi bwanakumbe baba wa binti alikuwa mahali za watu wawili...huyu jamaa yangu ndo akafanikiwa kuoa...sasa siku hiyo binti anatoka saluni na mpambe wake wanaelekea kanisani....mim na bwana harusi tayari tuko kanisan... yule jamaa aliyechukuliwa mahali then akakataliwana n wazaz wa binti akiwa na nduguze... waliliteka gari la bibi harusi + mpambe.....wamekaa nao kusiko julikana kwa wiki nzina na juzi ndo wametelekezwa mahali usiku.....

mpaka mda huu ninaoongea bwana harusi yuko hosp kalazwa.......

presha iko juu sana...........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom