Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,883
- 155,856
Nina mchumba ambaye nimemchumbia na tuko kwenye mikakati ya kufunga ndoa hapo mwezi wa sita mwakani.
Jana jioni nilitoka na mchumba wangu kwa ajili ya matembezi ya jioni.
Nlipofika nyumbani kwao nikamkuta babake yupo kibarazani na mama yake.
Nikawasalimia lakini baba hakuitikia, akaanza kunigombeza kuwa mimi ni kapuku na sina vigezo vya kumuoa mwanae, akaniambia hapo hapo ulipo, toka nje.
Nikafungua geti na kuondoka.
Binti akawa nanipigia simu haongei chochote analia tuu.
Je niendelee na uhusiano huu au nijiondokee na umasikini wangu/
Jana jioni nilitoka na mchumba wangu kwa ajili ya matembezi ya jioni.
Nlipofika nyumbani kwao nikamkuta babake yupo kibarazani na mama yake.
Nikawasalimia lakini baba hakuitikia, akaanza kunigombeza kuwa mimi ni kapuku na sina vigezo vya kumuoa mwanae, akaniambia hapo hapo ulipo, toka nje.
Nikafungua geti na kuondoka.
Binti akawa nanipigia simu haongei chochote analia tuu.
Je niendelee na uhusiano huu au nijiondokee na umasikini wangu/