Katikati ya msafara wa mamba kwani na wewe ni mamba?
Kiswahili tunasema kwenye msafara wa mamba kenge hakosekani. Labda huyu ni kenge.
Katikati ya msafara wa mamba kwani na wewe ni mamba?
, tusaidiane kuwaelimisha. badhi ya members humu ni waumuni wa kufikiria kwa "MASABURI"Wezi gani hao, ni mahakama gani iliyowatia hatiani?
Huwezi amini kumbe yule mwizi mshiriki wa Ikulu ndugu Jairo anapokewa kwa shangwe na wafanyakazi wa wizara ya nishati kwa kulisukuma gari lake kutoka kitegauchumi hadi wizarani
Nilijua tu,lazima washerehekee kutubwaga si wananchi.
Wewe si unalipwa kwa kuwakuwadia mabwana wakubwa ambao hupendi wasemwe,
huwezi kulazimisha watu wakubaliane na upuuzi unaoutetea. Shame on you! Nitasema
bila woga ndiyo maana ninatumia jina langu halisi na picha yangu kwa kuwa simuogopi
bwana wako, wewe ni kuwadi tu unayejificha kwenye jina la mtu mwingine.
Aisee Kishongo habari za Ikulu, hebu naomba niangalizie kama mnukulu wa ikulu yupo leo nna ishu kuhusu zawadi za Idd..Aliyeanzisha hii thread ni mwongo. Hakuna wageni toka nishati na madini hapa Magogoni.
Kumbe ni rahisi sana kuchezea akili za Great Thinkers
Inaonekana unatafasiri kitoto sana neno "Nitasema bila Uoga".. maana yake sio "Kusema maswala ya watu binafsi na kufuatilia maisha yao".. Ukishakujua kutofautisha hivyo vitu viwili basi utakubaliana na msemo wangu niliousema hapo awali kwamba unatakiwa ubalehee kwa maneno unayoyatoa kinywani mwako. Ooooh Jairo kafanya hivi, Ooooh Jairo kapendelewa,STFU... Kama kila taasisi ya serikali ikifanya kazi yake mnaanza kuizomea maana yake tutakua tunaharibu na kutojenga chochote cha maana. Kwa kifupi kubari kwamba, pamoja na kuweka picha yako "ukiwa umerembua" na pia kudai unasema bila uoga, basi unayoyasema bila uoga ni upuuzi mtupu.
Hizi habari ni CRAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAP, JK hayupo ikulu yuko ziarani Pemba. Mbona unakuwa kichwa maji hivyo kuleta habari za uchonganishi humu JF????
Aisee Kishongo habari za Ikulu, hebu naomba niangalizie kama mnukulu wa ikulu yupo leo nna ishu kuhusu zawadi za Idd..
Kwa hiyo ulitaka wote tuwe makuwadi siyo?
Mbona huweki picha yako wakuone jinsi ulivyo...
Kwanza kujibishana na wewe wote tutaonekana
hamnazo...
Ndio maana nikakwambia acha kufuatilia watu,, unataka picha yangu ya nini mwanaume mzima?? Ni kweli "Haunazo".. mwenye nazo hawezi kuamka asubuhi na kuanza kufuatilia Jairo amekula nini. Wewe ndio kuwadi, mtumwa na agent wa porojo na maneno yasiyokua na tija.
Uwendawazimu siyo lazima utembee uchi, aliyemzungumzia Jairo nani,
mbona unachanganya mambo? Kukuuliza kama hoja zako ni za kiume
naona imekukera sana, au wewe si riziki?
Kwa hiyo ulitaka wote tuwe makuwadi siyo?
Mbona huweki picha yako wakuone jinsi ulivyo...
Kwanza kujibishana na wewe wote tutaonekana
hamnazo...