Wanajf Katiba mpya inatakiwa kwa kuwa iliyopo sasa hivi haifai, kwa hiyo itakayokuja pengine itakidhi mahitaji ya kisheria ambayo ya sasa hivi haikidhi.
Nauliza kwamba hiyo katiba mpya itakayokuja itaweza kutatutua matatizo yaliyoshindikana kwenye katiba ya zamani au itategemea na muundo wa katiba mpya kama itaruhusu kutengua yaliyofanywa na ya zamani?:behindsofa:
Nauliza kwamba hiyo katiba mpya itakayokuja itaweza kutatutua matatizo yaliyoshindikana kwenye katiba ya zamani au itategemea na muundo wa katiba mpya kama itaruhusu kutengua yaliyofanywa na ya zamani?:behindsofa: