Mh. Celina Kombani AMCHANA Lissu Bungeni

nadhani huyu mama anafikiria kwa kutumia kile kitambaa cha kupigia deki masaburi....! hana huruma Gamba gumu lol
 
Anadai Lisu n mchochez kwa kusema Zanzibar wachangie maswala yanayohusu muungano tu.
Pia anadai anadai kuna watu walichukua mswada wa katba wakazunguka kuwapotosha wananch.
 
kamchana vizur kiherehere kwisha

kwa dhati yako unaamini kabisa amemchana?!!! Hukumuona shangazi akiwa amepandwa morali na jazba na kushindwa ku respond serious issue raised by lissu?

1:mahakama wako under pay especially mahakimu wakazi ambao levels zao kielimu ni sawa na state attorneys, mahakimu hawalipiwi nyumba, uniform for 3yrs now.

Usafiri ni ndoto wakati state attorneys wanapata hizo zote, amehoji iweje posho za wabunge na safari za rais na mawaziri hazikosekani lakini mahakama ni kawaida!

2:mapendekezo ya lissu juu ya muungano na katiba na kuonya serikali ya muungano isiigemee huruma ya znz na rais wake bali watz watumie fursa kuamua kama wanataka muungano au la na wa aina upi?

Celina kashindwa kujibu hii kiufundi baadala yake kaishia kusema naungana na mh. Chombo(ametumia mchango wake kumtukana lissu tena kidhariri pasipo kumjibu kwa hoja lissu ), je ni wapi lissu amesema znz ni koloni la tanganyika?


3:huyu ni waziri credible kweli anapolipuka kuwa ufinyu wa bajeti hautaturiki hadharani? Kanichosha kama lissu anategemea yeye apayuke hadharani ili apate fungu toka ujenzi kama walivyofanyiwa usafirishaji yeye hawezi eti kwa vile anajua protokali na kwamba yeye ni afisa utumishi!!! What a minister ?!!

4:haya ni matokeo ya kutegemea ushirikina ili muradi rais akupe uwaziri ilihali mtu uku mahututi kiuwezo, mama jana kasoma hotuba yenye matakwa ya werema na si matakwa ya umma na asasi husika ndani ya wizara.

Kaisoma hotuba kwa ubabaishaji mkubwa jana kiasi watu tunajiuliza uwezo wake binafsi na namna atakavyojibu hoja! Kweli ame prove kuwa ni mtupu.

Hana haiba ya kiuongozi wala maadili, yeye amemsakama lissu eti kawasilisha maoni yake binafsi anasahau yule ni waziri kivuli mwenye dhamana.

*** Celina ompeshi ni zao la siasa za kukomoana ndani ya ccm ya makamba, mnafiki anayeamini ktk majungu na kujipendekeza kwa wanaombeba.

Kiongozi wa kweli kweli asingekubali kukaa wizara ambayo hayupo tayari kuleta mabadiliko, lissu ni muungwana kwani alngekuwa muhuni angehoji uwepo wa waziri asiyejua wajibu wake ktk wizara husika.

Baadala yake ktk hotuba yake alianza kwa kuelezea wajibu wa wizara na waziri husika ktk kuijenga nchi yenye kuheshimu haki za binadam na utawala bora.

Nakusihi urejee hotuba za watu hawa wawili (lissu na kombani)
 
Huyu mama ni kilaza, anaonyesha inferiorism kwa sababu they are suprised with anything they hide.
 
huyu si ndiye aliwahi kusema,WATANZANI hatuhijaji katiba mpya na jambo hilo halitakaa litokee!wanaoipigia debe wanaupotosha umma! Mara baadae bosi wake anasema katiba mpya ni muhimu sana.
 
Kwanza huyu mama ni kati ya mawaziri wanaomaliza hewa tu kwenye cabinet. Kichwani ni sifuri kabisaaa. Heri wenzake wanafikiri kwa kutumia maasaburi yao, yeye nadhani anafikiri kwa kutumia nyeti zake.
<br />
<br />
duh! kumbe masaburi si nyeti
 
Lissu ni mtu makini sana na mwenye hekima siyo na kamwe huwezi kumlinganisha na huyu mama kilaza.
 
Kama mnakumbuka kipindi kile cha uchaguzi 2010
huyu mama ndie alituhumiwa kumuibia mgombea ubunge wa chadema form
muda mchache kabla ya kuzirejesha akiwatumia vibaka wa mahenge,
na hatimaye alipita bila kupingwa!
Na sasa ni waziri wa sheria sijui na nini tena .......
 
Kumbe ameshawah ku2humiwa wiz?. Magamba n meng ndan ya magamba.
 
kwa dhati yako unaamini kabisa amemchana?!!! Hukumuona shangazi akiwa amepandwa morali na jazba na kushindwa ku respond serious issue raised by lissu?<br />
<br />
1:mahakama wako under pay especially mahakimu wakazi ambao levels zao kielimu ni sawa na state attorneys, mahakimu hawalipiwi nyumba, uniform for 3yrs now.<br />
<br />
Usafiri ni ndoto wakati state attorneys wanapata hizo zote, amehoji iweje posho za wabunge na safari za rais na mawaziri hazikosekani lakini mahakama ni kawaida!<br />
<br />
2:mapendekezo ya lissu juu ya muungano na katiba na kuonya serikali ya muungano isiigemee huruma ya znz na rais wake bali watz watumie fursa kuamua kama wanataka muungano au la na wa aina upi? <br />
<br />
Celina kashindwa kujibu hii kiufundi baadala yake kaishia kusema naungana na mh. Chombo(ametumia mchango wake kumtukana lissu tena kidhariri pasipo kumjibu kwa hoja lissu ), je ni wapi lissu amesema znz ni koloni la tanganyika? <br />
<br />
<br />
3:huyu ni waziri credible kweli anapolipuka kuwa ufinyu wa bajeti hautaturiki hadharani? Kanichosha kama lissu anategemea yeye apayuke hadharani ili apate fungu toka ujenzi kama walivyofanyiwa usafirishaji yeye hawezi eti kwa vile anajua protokali na kwamba yeye ni afisa utumishi!!! What a minister ?!! <br />
<br />
4:haya ni matokeo ya kutegemea ushirikina ili muradi rais akupe uwaziri ilihali mtu uku mahututi kiuwezo, mama jana kasoma hotuba yenye matakwa ya werema na si matakwa ya umma na asasi husika ndani ya wizara.<br />
<br />
Kaisoma hotuba kwa ubabaishaji mkubwa jana kiasi watu tunajiuliza uwezo wake binafsi na namna atakavyojibu hoja! Kweli ame prove kuwa ni mtupu.<br />
<br />
Hana haiba ya kiuongozi wala maadili, yeye amemsakama lissu eti kawasilisha maoni yake binafsi anasahau yule ni waziri kivuli mwenye dhamana.<br />
<br />
*** Celina ompeshi ni zao la siasa za kukomoana ndani ya ccm ya makamba, mnafiki anayeamini ktk majungu na kujipendekeza kwa wanaombeba. <br />
<br />
Kiongozi wa kweli kweli asingekubali kukaa wizara ambayo hayupo tayari kuleta mabadiliko, lissu ni muungwana kwani alngekuwa muhuni angehoji uwepo wa waziri asiyejua wajibu wake ktk wizara husika.<br />
<br />
Baadala yake ktk hotuba yake alianza kwa kuelezea wajibu wa wizara na waziri husika ktk kuijenga nchi yenye kuheshimu haki za binadam na utawala bora.<br />
<br />
Nakusihi urejee hotuba za watu hawa wawili (lissu na kombani)
<br />
<br />
Hapo kwenye mshahara na usafiri natofautiana na wewe mshahara wa mahakimu wa kazi ni mkubwa kuliko wa state attorneys na vile vile mastate hawana allowance ya usafiri na kama Tundu Lissu alisema hivyo basi amepotosha. Ila kama umeamua mwenyewe kuleta upupu huu ebu consult directives zinazotoka utumishi utaona tofauti ya mishahara hiyo, sina record sasa ninge kuonesha. Harafu unatakiwa utambue state attorney ni kuanzia yule wa grade 2 hadi Attorney General. Mshahara wa kuanzia kazi wa mahakimu ni mkubwa kuliko wa mastate attorney.
 
Duh!!!

Lakini sikutegemea kama Mh. Waziri angekubali moja kwa moja hoja pinzani hata kama zinafaa. Ila mwishoni amekubali kuwa Lisso katoa hoja genuine. Ndio kukubali hoja za upinzani kikubwa jamani. Ukikubali moja kwa moja utaundiwa kamati ndani ya Cabinet
 
Msameheni bure hajui alitendalo. Ufinyu wa bajeti ni kilio cha wizara zote na mawaziri makini kama magufuli hutamka waziwazi kuwa bajet haitoshi, inakuwaje ya kwake itoshe? Huu sio ukihiyo na utovu wa busara? Haya na nyie wazenji mkome kutupigia kelele humu jf eti oo muungano ni feki, afterall watanganyika we have nothing to loose hata rais wenu tunampitisha huku. Mkisaidiwa hamtaki mnaendekeza njaa tu. Bigup lisu umewachoma hao wanafiki
 
Duh! Magamba wameshakuwa chronic kweli, imefikia wakati hata watu wa chadema wakitoa salamu wanasema ni uchochezi, wakitembea mtaani utawasikia wakisema hamchoki na maandamano
 
Leo Waziri wa Sheria Selina Combani kamchana Mh. Tundu Lisu wazir kivuli wa sheria , msemaji wa kambi ya upinzani
Anadai:

1. Lissu ametumia lugha ya uchochezi ktk hotuba yake.

2. Hajaptia hotuba ya wzara kabla ya kuandaa ya kwake.

3.Mh. lissu huwa anakwepa vikao vya kamati ya bunge kwa hiyo hawezi kujua yaliyojadiliwa.mfano kikao kimojawapo alikuwa Nyamongo.

4.Awaasa wabunge wa kambi ya upinzani wa pitia hotuba za mawazir ili kuepuka "madudu" ya mtu mmoja kuwakilisha mawazo ya kambi nzima.

5.Kuhusu kukithiri rushwa mahakamani, anadai hana uhakika ilia atafatilia.

6.Asema Lisu hajatumia Busara, akili n akarima aliyojaaliwa na mungu.

7. Mchakato wa katiba bado.

8.Kuhusu bajet ya Wizara inatosha kama Lisu anaona haitoshi ajazie kutoka kwenye jimbo lake.
Mwisho amesema Lissu ametoa hoja ambazo ni genuine ila nyingne amedanganya.

hayo ni kwa ufupi


Moja: Hoja yako imekaa kishabiki zaidi kuliko mantiki!
Mbili: Kwa maelezo yako inaelekea Celina Kashambulia mtu si hoja za mpinzani wake hivyo kajishambulia mwenyewe!
Tatu: Kitabu cha Bajeti kwa mtu yeyote aliye na uzoefu wa kusoma taarifa [reports] si nyaraka inayohitaji uenda Library kutafuta maana ya msamiati fulani ulioandikwa humo.
nne: Kamati inapokaa mawazo ya wengi ndiyo hupita kama. Kama yeye na kambi ya upinzani hawakubaliani na mawazo ya hiyo kamati wana haki ya kutoa wazo mbadala!
KWA MTAZAMO HUO KOMBANI BADO KAJIKOMBA KIGANJA CHAKE MWENYEWE NA SI CHA LISSU!
 
Back
Top Bottom