Tatizo siyo Ngeleja , taizo ni hakuna Techniciens au wataalam wa Umeme Tanzania, Tanzania has not yet even thinking of incubeting engineers and technicien for this matter. Hakuna wabunifu na wataalaam wa umeme Tanzania(practically hawapo, Theoretically na kifisadi wapo) sasa unataka Ngeleja awatoe wapi hao practically? hata kwenye ujenzi wa mabarara Tanzania inategemea Wachina, Wajapan, Wataliano, na hakuna aliyehitimu Chuo Kikuuu Cha Dar Mjenzi wa Barabara kwa sababu ni Watu wa theories. Maji nayo Dar Shida tu. Maji taka nayo shida tu. Naona ni vizuri kujipanga na kuweza ku incubet vijana wetu hata kupitia mabilion ya JK.. badala ya kuwanyima nafasi na kusababisha ugumu wa kupata ajira.ngeleja anasema tatizo ni nini hadi leo mgao bado unaendelea na utaisha lini? leo nimevaa nguo hazijapigwa pasi kwa mara ya kwanza ofisini!