2b frank he is so handsome, ila mambo yake ndo yanaboa sanawewe na wewe nini? unataka kutuletea mambo ya miss world hapa, wakati tuko kwenye mr. tanznaia, ameweka mabango nchi nzima na kutabasamu kama vile mwali?
Hivi hawa majaji wa Miss Tanzania wapo ambao waliwahi kushiriki/kuhudhuria Miss World,? hii itawasaidia wakati wanajaji Miss Tanazania kwani watakuwa wanafocus namna ya kumpeleka miss world
Hivi hawa majaji wa Miss Tanzania wapo ambao waliwahi kushiriki/kuhudhuria Miss World,? hii itawasaidia wakati wanajaji Miss Tanazania kwani watakuwa wanafocus namna ya kumpeleka miss world
ACTUALLY...SIJAPATA KUONA WALA KUSIKIA SIASA YA NAMNA HII!! Au hujasoma heading ya post za humu mzee?? hili ni JUKWAA LA SIASA...NOT JUKWAA LA UREMBO!!iiishh!Hivi hawa majaji wa Miss Tanzania wapo ambao waliwahi kushiriki/kuhudhuria Miss World,? hii itawasaidia wakati wanajaji Miss Tanazania kwani watakuwa wanafocus namna ya kumpeleka miss world