Recent content by The Poul

  1. T

    Natafuta Kazi Niko Jijini Mwanza

    "Mtaalamu wa kuuza Duka la Madawa ya mifugo anahitajika haraka sana. Awe na sifa zifuatazo: Awe na Certificate ya Animal Health and production kutoka Chuo kinachotambulika PIGA SASA HIVI SIMU NA. 0764 601903" Mwajili huyo anakutafuta, mpigie haraka sana. nae ameweka tangazo humu humu ndani
  2. T

    Wasichana kwa big expectation hizi mtaishia kupigwa pumbu na kuachwa.,

    asante!, maana wananiboa sana. Wengi nawafumania wakiongelea mambo hayo hayo, utakuta jibu linazeeka alafu linasema nataka mwanamume atakae nioa awe na............ ngoja waisome namba, miaka hii waoaji ni wachache sana
  3. T

    Natafuta mtaalamu wa kuuza duka la madawa ya mifugo

    "Mimi Ni Kijana Nilihitimu Mafunzo Ya Mifugo Ngazi Ya Cheti Mwaka 2013 ( Certificate In Animal Health And Production ) ... Ninatafuta Kazi Yoyote Ile Itakayoweza Kunipatia Fedha Angalau Ya Kukidhi Mahitaji Yangu ... Kwa Sasa Naishi Jijini Mwanza Namba Zangu Za Simu Ni 0766922108 au...
  4. T

    Mpenzi wangu anataka nimzalie mtoto, namimi nataka kujiendeleza

    We zaa tu!, kwani ukizaa hutaenda shule? acha ujinga hii miaka sio ya kupoteza kirahisi
  5. T

    Mambo madogo madogo 30 yavunjayo ndoa

    Ukitaka haki sawa utaumia hapo!. Wewe tii amri na atanyoka tu
  6. T

    Ajira za waliosoma agromechanisation

    Siku hizi hakuna cha moja kwa moja. Waliacha huo mchezo, yaani tangia wizara ya kilimo ikabidhi mamlaka ya kuajili kwa PSRS imekuwa majanga ndugu yangu. Tafuta utapata job kwa private sector, lakini kwa serikali utapiga written interview nyingi kadri ya uchumi wako pia km huna bahati utaishia...
  7. T

    Ndani ya Mwezi kuna nini?

    Utazame ukiwa haupo duniani utapata jibu, ukiwa duniani hutaweza kuelewa huo mwezi!
  8. T

    Ananipenda mpaka naona huruma

    Kuna siku mkononi kwako kutakuwa na vitu viwili; MAVI na HELA, Alafu wewe kwa akili yako timamu utatupa HELA chini alafu utabakiwa na MAVI mkononi alafu utashangilia na kufurahia. Ila mda ukifika utastuka mikono inanuka alafu utagundua ulipotupia zile HELA hupakumbuki ila UNAKUMBUKA MAVI...
  9. T

    Nataka kumshitaki Rose Mhando kwa utapeli

    sasa anaandaa video ya album ya Mama mkwe. Atakuambia yupo busy sana, kwani kashajifungua? au zile tuhuma zilikuwa sio sahihi?
  10. T

    Lijue serikali/baraza la mawaziri

    Dah! Mavunde kashaula. Dogo tozi sana yule kumbe kana Masters?
  11. T

    Siku CCM ikitoka madarakani yatafichuka mangapi?

    Siku zote siku za mwizi ni 40!. Kuna siku wataachia nchi kwa urahisi sana yaani itakuwa ni sawa na kumsukuma mlevi ktk shimo tena utashangaa milele daima. Panya mjanja hunasa kwenye tundu bovu!, we ngoja tuendeleee kuishi tu. Hujui kuwa wateja wa ccm wengi wao ni wazee? siku watakapokufa ndio...
  12. T

    Leyla Rashidi vs Jokha Kassimu

    leyla anatungiwa nyimbo, anaimba vizuri sana. Jokha anatunga mwenyewe mm nampenda pia hasa sauti yake ile.
  13. T

    Isha mashauz anaharibu muziki wa taarabu

    Alafu mimi nampenda balaa. Huyu Mashauzi hata aharibu vipi mm nampenda tu, maana ninachokitaka huwa nakipata. Ananifurahisha na kuniburudisha mpaka raha. Kama ww amekukera pole sana "Si Bure Una Mapungufu wewe!"
  14. T

    Ipe Maneno Picha hii

    naona Zezeta la Kitongoji tu!
  15. T

    Mwl.hamia Bahi nije morogoro popote au pwani.

    We bakia huko huko ugogoni!, unataka uende pwani?. Otea jua la Dodoma mpaka uwe kama mkaa. Huko walahi hupati mtu labda awe mgogo wa huko huko. Endelea kubembeleza labda watakuonea huruma
Back
Top Bottom