Mwl.hamia Bahi nije morogoro popote au pwani.

svoca

JF-Expert Member
Jun 6, 2014
373
69
Husika na kichwa hicho cha habari,nina mdogo wangu ni mwl wa sekondar yupo bahi Dodoma anataka wa kubadilishana nae maeneo kama hayo msaada wadau.
 
Husika na kichwa hicho cha habari,nina mdogo wangu ni mwl wa sekondar yupo bahi Dodoma anataka wa kubadilishana nae maeneo kama hayo msaada wadau.

We bakia huko huko ugogoni!, unataka uende pwani?. Otea jua la Dodoma mpaka uwe kama mkaa. Huko walahi hupati mtu labda awe mgogo wa huko huko. Endelea kubembeleza labda watakuonea huruma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom