Recent content by the Brother

  1. T

    Reservations and Ticketing personnel Jobs at Songea

    Nimeiona , sema sikuwa specific kutaka anuani gani, ila nilivyomaanisha ni address km P.O.box za kampuni au za HR
  2. T

    Tanzania izuie uingizwaji wa maziwa ya Kenya

    7) nyang'anya ardhi yote(zote) zinazomilikiwa na wakenya.... Maana washaona Tz ndo nchi yao kimbilio lá kuja kuwekeza ktk ardhi, sasa fukuza wakagombanie mashamba yao ya kisettler.
  3. T

    Unconfirmed News: Navy Seals Tayari Wamefika Peninsula Ya Korea Jana Usiku

    Vietnam Ni base ya marekani miaka nenda miaka rudi baada ya ile Vita yao kuisha, Bila kusahau Japan na South Korea Ni km Vietnam Yani zote hizi Ni base kuu za mmarekani huko Asia
  4. T

    Sifa za makabila mbalimbali hapa Tanzania

    Sijaona mkiwazungumzia wangoni, wafipa, wabena, wanyasa, wakinga, wanyambo, wamakonde, n. K.... Salt tusaidie sifa za Haya makabila, ila ukioa mmsai wa kike Mmmmhh
  5. T

    Tecno smart phone ni shidaaaaaa

    Sio kila sababu hapo Juu Ni ya tecno smartphone pekee yake... LA hasha, kuna vitu Vingine vinasababishwa na wewe mtumiaji binafsi, na mengine yanasababishwa na apps mnazozidownload Bila kuzijua Kwa kina zaidi...tumia simu yako vzr na kila kitu kitakuwa vile unavotaka
  6. T

    Movie gani ya mahusiano, mapenzi imeshawahi kukufurahisha?

    Zipo nyingi, 1)Listen to your heart 2) marriage counsellor by Tyler Perry n. K....... Ukiangalia hizi movie Lazima utoe chozi... Japo all time movie ya kusisimua ni Titanic
  7. T

    Ubora na bei za tecno smartphones

    Unajua Sio kila kifaa cha mchina Ni kibovu au kinalow quality, na pia, lazima tutambue hata hizi Simu tunazozisifia ka uimara, nazo kuna baadhi ya vifaa vinatengenezwa China wanavicombine ndo tunaiona bidhaa kamili Mf iPhone ni marekani lkn si kila kifaa kilichofungwa kimetoka marekani pekee n...
  8. T

    Ubora na bei za tecno smartphones

    Zipo, tafuta Simu zenye battery lion capacity hizi 3500 - 4000 - 4500 utauona utafouti... Japo battery nyingi zaidi smartphone huimili charge kutokana na jinsi unavyotumia mf: huwezi kukaa online muda wote Kwa kushinda ktk YouTube, instagram video viewing, games ukategemea Simu itakaa na charge...
  9. T

    Nini kimempata designer wa gari za Toyota Motors Corporation?

    That's world of beast, we in the world of beast... Everything they design, they design accordingly to customers need n context.Sisi baadhi ya Wateja Tunoana km wanaharibu la hasha, kumbe Kwa utafiti wao washaona mapigo hayo ndo yanasoko zaidi duniani... Hawa jamii wanaakili hawakurupuki.....
  10. T

    Marekani Watengeneza Risasi Yenye Uwezo wa Kukata Kona na Kumfuata Mpigwaji!

    Adui mkubwa wa binadamu ni binadamu mwenyewe..... Kila kitu kinachotengenezwa kinatengenezwa Kwa mlengwa wa kibinadaamu. Na hata Kwa mfano ukatumia hiyo risasi Kwa mnyama Basi lazima ufuatiliwe na hata kufunguliwa kesi Kwa kutumia kinyume cha matakwa ya risasi hizo..... Ni hatari sana
  11. T

    Nani aligharamia ukarabati wa kifahari wa ofisi ya Mkuu wa mkoa DSM?

    Nani asiyependa kufanya kazi ktk mazingira mazuri?? [emoji55]Hlf mtu unakuja kuuliza Nani aliyekarabati? Nani aliyepaoendezesha?? Sasa hizi Ni chuki binafsi... Kitu cha kutambua kuwa hela zote za marekebisho ya utendaji kazi kimkoa zinatoka mkoani hapo hapo... Akili na mbinu (creativity) ndo...
  12. T

    Naomba ushauri jinsi yakuongoza kikundi cha watu kumi

    Kwanza unatakiwa "KUJIAMINI"(confidence), km unaweza kuongeza hilo kundi, "UKWELI"(honesty) penda kutoa Mada/hoja za ukweli baina ya watu wanaokuzunguka, penda kufanya kazi Kwa ushirikiano Bila kujali huyu ni nani na yule ni nani "team working", penda kutoa usaidizi wa kazi(delegation) palé...
  13. T

    Blackberry :Blackberry yafufuka kinamna nyingine.

    Ahsante blackberry, tulikumiss sana,
  14. T

    Sirro: Marufuku bodaboda baada ya saa 6 usiku

    This Is too much, poor decision kbs
Back
Top Bottom