ymollel
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 3,095
- 2,291
Sasa hapa ndipo hakuna ukweli. Unadhani CHIP ambayo haiwezi kupokea System Updates itaweza kupokea Kirusi kitakachoenda kwenye System files (root files).soc gani inayokaribisha kirusi? mediatek, unarudi pale pale, wanaotumia simu za snapdragon au exynos wanavisikia redioni tu hivyo virusi na hata vikiingia vinatoka dakika sifuri tu sababu havijieki kama system app.
Labda kama umeroot simu yako hapo utakuwa umejiloga mwenyewe na sio MTK