Zipo, tafuta Simu zenye battery lion capacity hizi 3500 - 4000 - 4500 utauona utafouti... Japo battery nyingi zaidi smartphone huimili charge kutokana na jinsi unavyotumia mf: huwezi kukaa online muda wote Kwa kushinda ktk YouTube, instagram video viewing, games ukategemea Simu itakaa na charge muda wote... Hivyo Basi mtumiaji wa smartphone ambaye amewasha data muda wote Kwa ajili kupata notifications tu km, whatsapp, FB, na Kwa mawasiliano ya kawaida tu Basi huyu anaweza kukaa siku Nzima na bado battery ikasoma 50% ....na maisha yakaendelea...