Jane Steven
Member
- Jan 31, 2015
- 46
- 19
Nenda mlimani city hk hakuna ubabaishaji wala uchakachuaji ingia Tigo shop wanauza cmu za techno kwa bei nzuri tu km hy P5 ni 180
...kaugonjwa ketu...I need not know the virtures of a chinese phone when I can afford a Samsung.
MKUU kifaa cha mawasiliano ninachotumia ni Tecno F7 (Phantom +A ni nnzuri sana saivi kidogo zimeshuka bei unaipata mpya dukani sh 380000 huwezi juta ukiwa na simu kama hiyoHeshima zenu wakuu. Tafadhari naomba wajuzi wa teknolijia hii mnisaidie kujua ubora na bei ya smartphones zifuatazo. Najipanga kupata mojawapo baada ya kupata ushauri wenu maana sijawahi kumiliki tecno kabisa.
1. Tecno F7 (Phantom A)
2. Tecno F8 (Phantom A2)
3. Tecno M7
4. Tecno M5
5. Tecno P5
Natanguliza shukurani wakuu.
...kaugonjwa ketu...
Mchina atakukumba tu, anakuja kwa majina yote unayotaka wewe kulingana na soko ..from Apple to Samsung to whatever.
Mzee umetisha saaana kula like nyingiiiii, natumia galaxy s3, sio clone bt ukiweka chaji (coz piA ni tatizo) alafu eti ufungue data 3g simu unaweza sema imebaki dakika 3 ilipuke kama nyuklia at the same time nina tecno H6, haaa yaan iko cool mpaka basi itumie uwezavyo, simu haichemki wala kuwaje, izi brand name ndo kinachotuua hapa but simu nyingi especially android phone mwendo ule ule, labda uko ios na nokia ndo nahisi utofaut kingine hizi simu ni ghali sana. Wenye uwezo wacha wanunue lakin sioni cha ziada, ni sawa na laptop mara dell, toshiba, hp, ibm,compaq, samsung nahisi ni mulemule tu, njoon wa apple tuzungumze.
Naomba kuwasilisha
Nenda mlimani city hk hakuna ubabaishaji wala uchakachuaji ingia Tigo shop wanauza cmu za techno kwa bei nzuri tu km hy P5 ni 180
Tangu lini tecno ikawazidi Nokia na iphone?.Tangu lini tecno ya 3G ikashindanishwa ya 4G? na Samsung,Nokia au IphoneZinatofautiana kidogo sana hususan ktk grafx na pixel ram na internal storage bt ni poa sn nokia na i phones walibweteka sn wakidhan wao ndo kila kitu.
endelea kujidanganya! Simu wala haipo kwenye mtandao wa simu gsmarena... Ipo kwenye ma blog tu!!
ndio wanao watoa jasho apple kwenye ubora wa kameraZipo, tafuta Simu zenye battery lion capacity hizi 3500 - 4000 - 4500 utauona utafouti... Japo battery nyingi zaidi smartphone huimili charge kutokana na jinsi unavyotumia mf: huwezi kukaa online muda wote Kwa kushinda ktk YouTube, instagram video viewing, games ukategemea Simu itakaa na charge muda wote... Hivyo Basi mtumiaji wa smartphone ambaye amewasha data muda wote Kwa ajili kupata notifications tu km, whatsapp, FB, na Kwa mawasiliano ya kawaida tu Basi huyu anaweza kukaa siku Nzima na bado battery ikasoma 50% ....na maisha yakaendelea...chaji ni majanga kwa smartphone zote hakuna smartphone inayokaa n'a chaji masaa 25 ukiwa online
L9plus ina capacity ya 5000 ipo pouwa sanaZipo, tafuta Simu zenye battery lion capacity hizi 3500 - 4000 - 4500 utauona utafouti... Japo battery nyingi zaidi smartphone huimili charge kutokana na jinsi unavyotumia mf: huwezi kukaa online muda wote Kwa kushinda ktk YouTube, instagram video viewing, games ukategemea Simu itakaa na charge muda wote... Hivyo Basi mtumiaji wa smartphone ambaye amewasha data muda wote Kwa ajili kupata notifications tu km, whatsapp, FB, na Kwa mawasiliano ya kawaida tu Basi huyu anaweza kukaa siku Nzima na bado battery ikasoma 50% ....na maisha yakaendelea...