Recent content by SUKAH

  1. SUKAH

    Uvaaji wa uniform kwa wanafunzi umepitwa na wakati serikali ijitathmini upya

    Waacheni watoto wawe katika mazingira salama kwa kupitia sare zao nzuri za shule.
  2. SUKAH

    KERO Uhamisho Mkundi Mlimani Sekondari - Morogoro lazima uchangie kiti na meza

    Mkuu ni vile hizi shule zetu mnaziona kwa mbali tu mkiwa mnapita barabarani. Toa hiyo pesa ila hakikisha mtoto anakabidhiwa hicho kiti na meza yake. Kuchangia maendeleo ya shule sio jambo la kujitenga nalo.
  3. SUKAH

    PostGE2025 Padri Kitima: Kanisa Katoliki linaposimamia vitu halitafuti maslahi ya kikatoliki, bali ustawi wa watu

    Bwana weee, TEC na maslahi ya umma wapi na wapi. Mnatudanganya tusiowajua. PhD nyingi bila uadilifu ni kutostaarabika.
  4. SUKAH

    Unakumbuka nini kuhusu Radio Free Africa Mwanza, Hizi zilikuwa Enzi halisi za Kusikiliza RADIO

    Kuna kipindi kilikuwa kila siku asubuhi saa 12 na nusu hadi saa moja. Kina intro ya wimbo wa Park Lane, beat kama ya funk hivi, aaah tulipata habari huku tunajiandaa kwenda assembly ground enzi za shule
  5. SUKAH

    Kwanini Diaspora wa USA huwa wengi wao ni kama wana matatizo ya afya ya akili?

    Diaspora wanatuona sisi machizi na sisi tunawaona wao machizi, yaani ni uchizi uchizi. Aah mai
  6. SUKAH

    My best music producers of all the time

    1. Majani 2. Mika 3. Roy 4. D. Money 5. Amba
  7. SUKAH

    Viambatanisho katika mfumo wa uhamisho (ess.utumishi.go.tz)

    Hii inasoma hivi baada ya ku submit vacancy request mkuu.
  8. SUKAH

    Viambatanisho katika mfumo wa uhamisho (ess.utumishi.go.tz)

    Kila ukifanya Vacancy request unaambiwa VACANCY NOT BUDGETED, miaka na mikaka.
  9. SUKAH

    Naweza kusoma nikiwa kazini Diploma za Sayansi kwa ufaulu huu kidato cha sita wa mwaka 2014?

    Kama upo Morogoro unaweza kusoma Diploma ya Geomatics, GIS au URP (utaanza na NTA level 5 then level 6, yaani miaka miwili) pale Chuo cha Ardhi Morogoro, au Diploma ya Civil engineering pale Chuo cha Ujenzi.
  10. SUKAH

    Ma-architecture wengi wa bongo wanaringa

    Kama utakuwa upo tayari njoo pm nikupatie namba ya architect mzuri akufanyie kazi.
  11. SUKAH

    The 4 Factors Of Production In Economics

    Umenikumbusha Principles of Economics by Dwived na A text book of Economics by Hanson.
  12. SUKAH

    Dhambi ya JW imeandikwa kwa kalamu ya chuma

    Waandamandmaji a.k.a panya road walidhani JW ni wajinga kama wao.
  13. SUKAH

    KERO Tatizo kwenye mfumo wa NACTVET kuomba AVN

    Chuo ulichosoma kikipandisha matokeo NACTVET basi ujue ni dakika sifuri tu unapata AVN.
Back
Top Bottom