Mkuu ni vile hizi shule zetu mnaziona kwa mbali tu mkiwa mnapita barabarani.
Toa hiyo pesa ila hakikisha mtoto anakabidhiwa hicho kiti na meza yake. Kuchangia maendeleo ya shule sio jambo la kujitenga nalo.
Kuna kipindi kilikuwa kila siku asubuhi saa 12 na nusu hadi saa moja. Kina intro ya wimbo wa Park Lane, beat kama ya funk hivi, aaah tulipata habari huku tunajiandaa kwenda assembly ground enzi za shule
Kama upo Morogoro unaweza kusoma Diploma ya Geomatics, GIS au URP (utaanza na NTA level 5 then level 6, yaani miaka miwili) pale Chuo cha Ardhi Morogoro, au Diploma ya Civil engineering pale Chuo cha Ujenzi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.