Recent content by SUKAH

  1. SUKAH

    JamiiForums Tanzania Old is Gold: Good music never dies

    Inanikumbusha mbali pia, nimetoka zangu nyumbani kijijini tukiwa tunasikiliza nyimbo za Kikongo, Lucian, Alain KounkIu kwa sana then naingia mjini kwenye makazi mapya nakutana na taste mpya ya muziki, kutoka Radio One Stereo, Return of the Mack, Kiss from a rose, California love, rock yo body...
  2. SUKAH

    JamiiForums Tanzania Dirisha la maombi (appliction) ATC limefunguliwa au bado?

    Umesoma na kumalisa shule gani ili tukupe msaada zaidi?
  3. SUKAH

    JamiiForums Tanzania Feedback: Kuhusu biashara ya mbuzi na ng'ombe

    Tunaomba weka tag kwenye huo uzi wako wa mwaka jana.
  4. SUKAH

    JamiiForums Tanzania Ni sehemu gani ya nchi, mji au Kijiji ulifika mpaka ukajiuliza watu waishio huko walifuata nini?

    Masange kuna watoto wazuri, wazuri haswaaa. Natamani nirudi tena. Kwa sisi tuliopata kuishi vijijini wakati fulani, basi pale Masange hakuna changamoto ya kututisha.
  5. SUKAH

    JamiiForums Tanzania Dirisha la maombi (appliction) ATC limefunguliwa au bado?

    Hii changamoto ya kuchanganya herufi R na L inazidi kukua kila uchao. Tunajificha kwenye kichaka cha "kikubwa si umeelewa"
  6. SUKAH

    JamiiForums Tanzania Billboard yametoa orodha yao ya Rapa bora wa muda wote

    Treach
  7. SUKAH

    JamiiForums Tanzania Barabara za zege zinadumu na gharama nafuu kuliko za lami kwanini nchi nyingi za Africa wanapendelea lami?

    Lami huaribika haraka kuliko za zege, kwa standard ya barabara inayofanana, za zege ni ghali kuliko za lami. Lakini pia lami inatoa smooth drive kuliko zege😀😀
  8. SUKAH

    JamiiForums Tanzania Natafuta mbegu za matango pori

    Aah nimeyala sana utotoni huko usandaweni.
  9. SUKAH

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu course hizi za Diploma

    Nenda kasomee uhasibu mdogo wangu.
  10. SUKAH

    JamiiForums Tanzania ITV ilipofunguliwa mwaka 1994

    Rap Em, nilijitahidi nisikikose hiki kipindi japo nkikuwa kinda sana wakati huo.
  11. SUKAH

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Na ukiwa na diploma (mpima ardhi) wanaanzia ngapi wizara ya ardhi?
  12. SUKAH

    JamiiForums Tanzania Uvaaji wa uniform kwa wanafunzi umepitwa na wakati serikali ijitathmini upya

    Waacheni watoto wawe katika mazingira salama kwa kupitia sare zao nzuri za shule.
  13. SUKAH

    JamiiForums Tanzania KERO Uhamisho Mkundi Mlimani Sekondari - Morogoro lazima uchangie kiti na meza

    Mkuu ni vile hizi shule zetu mnaziona kwa mbali tu mkiwa mnapita barabarani. Toa hiyo pesa ila hakikisha mtoto anakabidhiwa hicho kiti na meza yake. Kuchangia maendeleo ya shule sio jambo la kujitenga nalo.
  14. SUKAH

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Padri Kitima: Kanisa Katoliki linaposimamia vitu halitafuti maslahi ya kikatoliki, bali ustawi wa watu

    Bwana weee, TEC na maslahi ya umma wapi na wapi. Mnatudanganya tusiowajua. PhD nyingi bila uadilifu ni kutostaarabika.
Back
Top Bottom