Feedback: Kuhusu biashara ya mbuzi na ng'ombe

Feedback: Kuhusu biashara ya mbuzi na ng'ombe

SILLENT KILLER 2

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2024
Posts
828
Reaction score
1,564
Salam wakuu.kama heading inavosomeka hapo.

Mwaka jana nilileta uzi wangu kuhusu biashara ya mbuzi na ng'ombe na nikaweka na no zangu.
Basi kuna siku nikawa nimetulia tu mara kuna memba akanitafuta.akaniambia anataka mbuzi wa kufuga,yeye anaishi Dar.

Nikamwambia ajipange siku akiwa tayar atanicheki.
Akanipigiaga mwingine tena akasema nataka kondoo wa kufuga, nikasema wapo wanapatikana tu hela yako nae akasema anaish Dar.

Watatu na wanne wote walinipiaga wakasema watanicheki lakini wapi.
Basi bhana nikatulia kama miezi miwili ndo akanicheki jamaa mmoja kutoka dodoma.
Akasema anataka mbuzi kama 40 au 50 nikasema wanapatikana kwa bei chee
Nafiri huyu ndugu yangu akasema anakuja kutoka dom kuja kunitembelea ili ajifunze kuhusu ufugaji.

Jamaa akaja wiki iliopita tukaongea mengi sana.
Tu cut the story akanambia atakuja tena ili aje na pesa.
Nilichojifunza kwenye biashara unatakiwa uwe na moyo mgumu sana
Ila namshuku MUNGU angalau nayaona matokeo nimeanza kufanya delivery miji ya karibu kama gairo,kibaigwa,
 
Salam wakuu.kama heading inavosomeka hapo.

Mwaka jana nilileta uzi wangu kuhusu biashara ya mbuzi na ng'ombe na nikaweka na no zangu.
Basi kuna siku nikawa nimetulia tu mara kuna memba akanitafuta.akaniambia anataka mbuzi wa kufuga,yeye anaishi Dar.

Nikamwambia ajipange siku akiwa tayar atanicheki.
Akanipigiaga mwingine tena akasema nataka kondoo wa kufuga, nikasema wapo wanapatikana tu hela yako nae akasema anaish Dar.

Watatu na wanne wote walinipiaga wakasema watanicheki lakini wapi.
Basi bhana nikatulia kama miezi miwili ndo akanicheki jamaa mmoja kutoka dodoma.
Akasema anataka mbuzi kama 40 au 50 nikasema wanapatikana kwa bei chee
Nafiri huyu ndugu yangu akasema anakuja kutoka dom kuja kunitembelea ili ajifunze kuhusu ufugaji.

Jamaa akaja wiki iliopita tukaongea mengi sana.
Tu cut the story akanambia atakuja tena ili aje na pesa.
Nilichojifunza kwenye biashara unatakiwa uwe na moyo mgumu sana
Ila namshuku MUNGU angalau nayaona matokeo nimeanza kufanya delivery miji ya karibu kama gairo,kibaigwa,
mbuzi anaanzia bei gani?
 
Salam wakuu.kama heading inavosomeka hapo.

Mwaka jana nilileta uzi wangu kuhusu biashara ya mbuzi na ng'ombe na nikaweka na no zangu.
Basi kuna siku nikawa nimetulia tu mara kuna memba akanitafuta.akaniambia anataka mbuzi wa kufuga,yeye anaishi Dar.

Nikamwambia ajipange siku akiwa tayar atanicheki.
Akanipigiaga mwingine tena akasema nataka kondoo wa kufuga, nikasema wapo wanapatikana tu hela yako nae akasema anaish Dar.

Watatu na wanne wote walinipiaga wakasema watanicheki lakini wapi.
Basi bhana nikatulia kama miezi miwili ndo akanicheki jamaa mmoja kutoka dodoma.
Akasema anataka mbuzi kama 40 au 50 nikasema wanapatikana kwa bei chee
Nafiri huyu ndugu yangu akasema anakuja kutoka dom kuja kunitembelea ili ajifunze kuhusu ufugaji.

Jamaa akaja wiki iliopita tukaongea mengi sana.
Tu cut the story akanambia atakuja tena ili aje na pesa.
Nilichojifunza kwenye biashara unatakiwa uwe na moyo mgumu sana
Ila namshuku MUNGU angalau nayaona matokeo nimeanza kufanya delivery miji ya karibu kama gairo,kibaigwa,
Nilitegemea useme namna ulivyopangua mbinu za kitapeli na kuzima jaribio la kuibiwa kiujanja ujanja!

Sasa jambo hili la kuwasiliana na wateja mbona ni la kawaida sana katika biashara, au wewe unaliona ni kikwazo?
 
Nilitegemea useme namna ulivyopangua mbinu za kitapeli na kuzima jaribio la kuibiwa kiujanja ujanja!

Sasa jambo hili la kuwasiliana na wateja mbona ni la kawaida sana katika bishara, au wewe unaliona ni kikwazo?
Bro hakuna utapeli niliokutana nao.japokuwa upo lakini in how utapeli unafanyika ebu fafanua kdg ili nijbu
 
Lazima UJULIKANE, lasivyo utapata vipi walengwa wako?

Una simu kubwa, ingia insta, funguo akaunti, post mifugo...hapo mbele tafuta bajeti urushe sponsored ads
Mkuu asante kwa ushauri.
Hiyo kitu ipo kwenye mipango yangu mana nataka nitafute na brand yangu mkuu
 
Back
Top Bottom