Shamuse_bey
JF-Expert Member
- Jun 15, 2026
- 467
- 596
Habari viongozi, ninataka kujiunga chuo cha ARUSHA TECHNICAL COLLAGE ila nataka kujua kama dirisha la maombi ya usajiri tayari au bado? na kama bado ikiwa tayari naomba mnijulishe kwa mnao jua na kuhusika ili muweze kunisaidia kijana wenu hapa.