PCCB hawana strength zaidi ya CAG. Inamaana CAG asingebaini madudu hela za walipa kodi si zilishaibwa na hao jamaa? Inawezekana kabisa hao wezi wanakula mchongo na PCCB.
Waburuzwe wote hao mahakamani na wote wawe chini ya uchunguzi. PCCB haina kazi hapa nchini. Ifutwe tu! Wao walitakiwa...
Kati ya taasisi ninazopendekeza zifutwe hapa nchni ni hiyo takukuru. Inaongoza kwa rushwa. Hawana maana yoyote zaidi ya kula bure pesa za walipa kodi.
Ktk sakata hili wangeanza kushitakiwa hao takukuru kwa kushindwa kuwajibika. Kama wangekuwa wanawajibika wizi huo ungetokea wapi?????? Mpaka...
Wakuu, ninao mtaji wa sh.milioni kumi. Nataka nianze biashara hapa Sinza. Naomba ushauri wenu tafadhali. Nimetafakari nifanye biashara gani nimeshindwa kujua ipi itanilipa kwa kiasi hicho kidogo nilichonacho. Asanteni.
Hapo ndipo jamii inapokosa kabisa imani na polisi wetu. They can very easily be used to manipulate facts. Taarifa hiyo ni media cover up tu,na inajicontradict sana. Ukisoma mwanzo unakuta kamanda anakataa kuwa silaha hiyo haikuwa SMG lakini then unaona polisi akisema ...mwizi hakuiba ile bastola...
Kama suala ni kuangalia ufaulu wa mitihani ya BOARD ya uhasibu,basi hahitaji hata kwenda university. Hata vyuo visivyo ktk hadhi ya university watu wanafanya review na kusit board exams na wanafaulu. Academics siyo mitihani ya board ya uhasibu tu. Package ya chuo kikuu ina mengi zaidi ya hayo...
Ila tatizo lako na wewe ukishapanda daladala macho yako ni kwa wanawake tu pamoja na masikio yako,unaangalia wanafanya nini na kusikiliza story zao. Uwe unanunua hata gazeti la jiti mzee ukishapanda daladala jikip bize.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.