Takukuru watawachunguza mawaziri watuhumiwa! Walikuwa wapi hadi mambo yanafika hapa?

Kwasasa TAKUKURU Imekuwajekuwaje taasisi ya kusafisha watuhumiwa. Tusitegemee jipya hapa. Kama issue ya RADA SFO walimtuhumu Mh.Chenge na kuweka wazi vidhibiti vya pesa yake ya mgao, bado TAKUKURU wetu walikuja kumsafisha huku. Kama walipinga uchunguzi wazi SFO, watashindwa kupingana na taarifa ya CAG.
 
Hao "Taasisi ya Kula na Kutafuna Rushwa" hawana lolote zaidi ya kwamba wametumwa ili wawasafishe hao wafadhili wao.
 
TAKUKURU Inatakiwa ivunjwe Mara Moja, kwani inafanya kazi kwa Matakwa ya CCM na Mafisadi. Mimik sishangai kama wataleta ripoti inayoonyesha watu hawa wako innocent hawajiiba mali ya umma.
 
Hao Takukuru wapuuzi, hawana lolote kazi yao ni kusafisha mafisadi, nakumbuka Sumbawanga bw Aeshy aliyekuwa akikamatwa live akitoa hongo tunawapigia lakini wakija wanamsafisha, hadi raia tulipoamua kumburuza mahakamani hata walipotakiwa hao takukuru kuja kutoa ushahidi waligoma, lakini kwa kuwa Mungu yuko kwenye haki tuliamua tupeleke vielelezo sisi raia na hatimaye ukweli ukaonekana! TAKUKURU na USALAMA WA RAIA ni vibaraka wa thithiem
 
Itawapeleka Mahakamani na kuwashitaki?

kwa serikali ipi hii poyoyo...mimi nawashauri akina ngereja waahidi kurudisha hayo mapesa na hakuna atakae wapeleka mahakamani na hao takukuru wasitufanye watanzania wapumbavu kunawatu walikwapua mabilioni ya EPA, Richmond kwanini wasiwashughulikie kama wanaubavu
 
Wale waote waliotajwa kwenye ripoti ya CAG wachunguzwe. Inamaana walikuwa wapi siku zote? ama wanafanya kazi kwa remoti kontrol?
 
of course! baada ya uchunguzi kukamilika na kupata consent ya DPP kama sheria inavyotaka.

wewe utakuwa na matatizo ya ubongo au huishi tanganyika ndiyo maana unasema hivyo, unaweza kuniambia kazi ya kwanza ya takukuru...iweje baada ya wananchi kupiga kelele ndiyo waseme wanachunguza wakati walipaswa kuzuia..
 
Ndio, inawachunguza ili ijue namna ya kuwasafisha.TAKOKURU iko pale kwa maslahi ya waliounda, nao ndio hao.
 
Sina imani hata kidogo na Takukuru. Hichi ni kitengo cha kusafisha mafisadi mbele ya jamii. Usije shangaa takukuru kutompata mla rushwa yeyote katika wizara japo wamekubali wizara husika kupoteza mamia ya mamilioni ya shilingi.
.
 
Kumbukeni kuwa hawa Takukuru are answerable to the President's office, na matatizo ya mawaziri ni matatizo ya ofisi ya Rais kwahiyo ili kupata njia ya kujinasua kutokana na kadhia hii ya mawaziri wateule wake kikwete ni lazima aitumie Takukuru kuwasafisha hivyo kushindwa kuwaadabisha!!Kikwete hawezi kuwatema Mkullo, Ngeleja , Maige etc kwasababu hayo madudu wanayoyafanya huko wizarani huyafanya kwa maelekezo yake!! Haingii akilini hata siku moja eti waziri atasafirisha wanyama pori kwenda nje ya nchi kwa ndege ya jeshi la nchi husika bila ya vyombo vya ulinzi na usalama kujua na hivyo kupata ridhaa ya Rais!! Takukuru kujiingiza kwenye hili sakata la mawaziri ni kutaka kutupumbaza wananchi na Kikwete is not going to make any significant changes in the cabinet inspite of all the hullabaloo about the so called impending reshuffle!!!
 
Tanzania nchi ya usanii na kudanganyana. Nani angeamini kuwa TAKUKURU ingekuja na kamba kuwa itawachunguza mawaziri watuhumiwa wa ripoti ya CAG. Hivi Takukuru walikuwa wapi wakati wote huu au wanatafuta kuwatoa chochote kitu? Je Takukuru licha ya kupaswa kuvunjwa ina udhu wa kumchunguza mtu tena kigogo wa CCM na serikali? Nani anamdanganya nani?
Vyombo vya habari vilimnukuu mkurugenzi wa Takukuru Edward Hosea akisema, “Sheria inatutaka tufanye uchunguzi wa tuhuma zozote na katika hili, CAG alitakiwa atupe taarifa. Lakini sisi baada ya kusikia bungeni tulimwandikia barua (CAG) kumwomba atupatie ripoti ya mambo yanayotuhusu tuanze kuyashughulikia haraka

Maswali ya kujiuliza;
1-Takukuru walikuwa wapi siku zote?
2-Zile taarifa za wiklicks zilikuwa za ukweli?
3-Kazi ya Takukuru ni kuzuia rushwa,au ni kuchunguza
rushwa iliyokwisha kutolewa?
Takukuru mnakula pesa zetu(walipa kodi-Watz) bure bila sababu.Kitengo cha Takukuru ni Kama mazingaumbwe kwa Watanzania kutupumbaza,viongozi wake sio majasiri bali ni waoga kuchukua hatua.
HITIMISHO;kwa mtazamo wangu sheria zinazowapa uhai Takukuru sizo zinazo tekelezwa,control remot inatoka nje ya Takukuru na mfano mzuri ni kwa Yale yaliokwisha kutokea na haya yanayoendelea kutokea katika utendaji wake.
 
Kumbukeni kuwa hawa Takukuru are answerable to the President's office, na matatizo ya mawaziri ni matatizo ya ofisi ya Rais kwahiyo ili kupata njia ya kujinasua kutokana na kadhia hii ya mawaziri wateule wake kikwete ni lazima aitumie Takukuru kuwasafisha hivyo kushindwa kuwaadabisha!!Kikwete hawezi kuwatema Mkullo, Ngeleja , Maige etc kwasababu hayo madudu wanayoyafanya huko wizarani huyafanya kwa maelekezo yake!! Haingii akilini hata siku moja eti waziri atasafirisha wanyama pori kwenda nje ya nchi kwa ndege ya jeshi la nchi husika bila ya vyombo vya ulinzi na usalama kujua na hivyo kupata ridhaa ya Rais!! Takukuru kujiingiza kwenye hili sakata la mawaziri ni kutaka kutupumbaza wananchi na Kikwete is not going to make any significant changes in the cabinet inspite of all the hullabaloo about the so called impending reshuffle!!!

Mkuu umezungumza jambo la msingi sana,nnashukuru baadhi yetu Watanzania kuwa na uelewa wa kufikiri jambo na sio kupiga makofi tu.Mnakumbuka sakata hili la wanyama pori kusafirishwa nje ya nchi gazeti la raia mwema ndio liliibua sakata hili na baadhi ya maafisa wachache ndio waliwajibishwa.Swali hivi Twiga na nyaraka nyingine zinawezwa kuibiwa Waziri husika asijue?Ndege ya jeshi la nchi nyingine linaweza kuja hapa Tanzania bila usalama wa taifa kutokuwa na Taarifa?
 
Tanzania nchi ya usanii na kudanganyana. Nani angeamini kuwa TAKUKURU ingekuja na kamba kuwa itawachunguza mawaziri watuhumiwa wa ripoti ya CAG. Hivi Takukuru walikuwa wapi wakati wote huu au wanatafuta kuwatoa chochote kitu? Je Takukuru licha ya kupaswa kuvunjwa ina udhu wa kumchunguza mtu tena kigogo wa CCM na serikali? Nani anamdanganya nani?Vyombo vya habari vilimnukuu mkurugenzi wa Takukuru Edward Hosea akisema, “Sheria inatutaka tufanye uchunguzi wa tuhuma zozote na katika hili, CAG alitakiwa atupe taarifa. Lakini sisi baada ya kusikia bungeni tulimwandikia barua (CAG) kumwomba atupatie ripoti ya mambo yanayotuhusu tuanze kuyashughulikia haraka
TAKUKURU ipigiwe kura ya kutokuwa na imani tu. Ni mafisadi nambari Moja hapa nchini.
 
Back
Top Bottom