Kumbe hata kuitwa Daktari mwanafunzi kwa Interns Doktors ni moja ya makosa?

Mwanajamii

JF-Expert Member
Mar 5, 2008
7,063
68
Kutokubalika kwa Waziri wa afya na naibu wake kulikosababisha madaktari
wampe JK masaa 72 kuwaondoa katika wizara hiyo ni pamoja na waziri kuwaita
interns madaktari wanafunzi.

Kwa mliopitia vyuoni kwa mafunzo ya taaluma, internship hufanywa wakati ukiwa
mwanafunzi na hivyo sahihi kuitwa mwanafunzi au ni kosa kama alivyofanya
aidha waziri au naibu wake?

Nawasilisha.
 
Mkuu kila siku tumekuwa tukijadili maoni na madai ya madaktari humu, huyu mkwer.e humjui wanataka popularity anazungumza hadi yeye mwenyewe nafsi yake inamsuta.
Go to hel mkwe.re
 
Kutokubalika kwa Waziri wa afya na naibu wake kulikosababisha madaktari
wampe JK masaa 72 kuwaondoa katika wizara hiyo ni pamoja na waziri kuwaita
interns madaktari wanafunzi.

Kwa mliopitia vyuoni kwa mafunzo ya taaluma, internship hufanywa wakati ukiwa
mwanafunzi na hivyo sahihi kuitwa mwanafunzi au ni kosa kama alivyofanya
aidha waziri au naibu wake?

Nawasilisha.

Ngoja nikupe tofauti ya haya maneno, nitatumia maneno ya kiingereza:

1. Medical student(s) huyu ni m(wa)nafunzi anayesomea udaktari (wa meno au wa jumla) kwa maana kwamba bado yuko chuoni anasoma na hajahitimu, anaweza kuwa mwaka wa kwanza au wa tano.

2. Intern doctor(s) huyu ni daktari aliyekwisha hitimu na kutunukiwa shahada ya udaktari na anatumikia kipindi cha lazima cha mwaka mmoja mafunzoni akiwa chini ya uangalizi wa madaktari bingwa kabla hajasajiriwa rasmi na kutambulika kama daktari kwa mujibu wa sheria.

3. Resident doctor (s) huyu ni daktari aliyesajiriwa na yuko mafunzoni kwa ajili ya kusomea umahili (specialization) katika fani za tiba.

Si sahihi kumwita intern doctor kuwa ni mwanafunzi bali unaweza kumwita "trainee doctor" au daktari aliye mafunzoni. Kimsingi ni daktari, ila bado hajasajiliwa ndio maana yuko mafunzoni (mafunzo kazini), na sio mafunzo shuleni.
 
Ngoja nikupe tofauti ya haya maneno, nitatumia maneno ya kiingereza:

1. Medical student(s) huyu ni m(wa)nafunzi anayesomea udaktari (wa meno au wa jumla) kwa maana kwamba bado yuko chuoni anasoma na hajahitimu, anaweza kuwa mwaka wa kwanza au wa tano.

2. Intern doctor(s) huyu ni daktari aliyekwisha hitimu na kutunukiwa shahada ya udaktari na anatumikia kipindi cha lazima cha mwaka mmoja mafunzoni akiwa chini ya uangalizi wa madaktari bingwa kabla hajasajiriwa rasmi na kutambulika kama daktari kwa mujibu wa sheria.

3. Resident doctor (s) huyu ni daktari aliyesajiriwa na yuko mafunzoni kwa ajili ya kusomea umahili (specialization) katika fani za tiba.

Si sahihi kumwita intern doctor kuwa ni mwanafunzi bali unaweza kumwita "trainee doctor" au daktari aliye mafunzoni. Kimsingi ni daktari, ila bado hajasajiliwa ndio maana yuko mafunzoni (mafunzo kazini), na sio mafunzo shuleni.

umeongea maelezo meeeeengi sana ila umefeli kitukimoja kirahis tu nini MAANA YA INTERNS DOCTOR kwa kiswahili bila ya kunyumbulisha maneno kwa kiswahili mfano doctor= dactari.

kwa mujibu wa
oxford dictionary-interns number one means in american inglish a recent graduate receiving supervised training in hospital and acting as an assistant physician or surgeon
number two means a
student or tranees who does a job to gain work experience or qualification

maana yake ni kwamba unaweza ukamwita student or traineees yote ni sawa tuu mkubwa DKHAJJI HAKUKOSEA KITU MKUU NA HAKUNA HOJA APO YAKUMSHINIKIZA KUGOMA CHAMSINGI FANYENI MAZUNGUMZO NA SERIKALI KUPATA UFUMBUZI WA MATATIZO YENU
 

umeongea maelezo meeeeengi sana ila umefeli kitukimoja kirahis tu nini MAANA YA INTERNS DOCTOR kwa kiswahili bila ya kunyumbulisha maneno kwa kiswahili mfano
doctor= dactari.

kwa mujibu wa
oxford dictionary-interns number one means in american inglish a recent graduate receiving supervised training in hospital and acting as an assistant physician or surgeon
number two means a student or tranees who does a job to gain work experience or qualification

maana yake ni kwamba unaweza ukamwita student or traineees yote ni sawa tuu mkubwa DKHAJJI HAKUKOSEA KITU MKUU NA HAKUNA HOJA APO YAKUMSHINIKIZA KUGOMA CHAMSINGI FANYENI MAZUNGUMZO NA SERIKALI KUPATA UFUMBUZI WA MATATIZO YENU

Kwa kweli kama ni lugha umefeli vibaya sana. Huwezi kusema maana ya doctor = dactari (daktari), kwa hiyo ukiulizwa daktari maana yake ni nini utajibu kuwa ni doctor?. Hapo hujatoa maana ila umetoa tafsiri ya neno la kiingereza doctor kwa lugha ya kiswahili. Maelezo niliyoyatoa nimeeleza unaposema "intern doctor ina maanisha nini.

Pili, mfumo wetu wa kufundisha madakatari ni tofauti na mfumo wa marekani ndio maana dictinary hiyo uliyotumia imezungumzia aina mbili za "intern number" one na "number two".

Hapa Tanzania kuna "interns" peke yake ambaye ni mhitimu wa shahada ya udaktari anayefanya mafunzo ya kazi hospitalini mara tu baada ya kuhitimu kwa nia ya kupata uzoefu na kupata vigezo vya usajiri katika baraza la madaktari Tanzania.
 
Hivi kuitwa daktari mwanafunzi ni moja kati ya matatizo ya madaktari wetu??????
 
kwa kweli kama ni lugha umefeli vibaya sana. Huwezi kusema maana ya doctor = dactari (daktari), kwa hiyo ukiulizwa daktari maana yake ni nini utajibu kuwa ni doctor?. Hapo hujatoa maana ila umetoa tafsiri ya neno la kiingereza doctor kwa lugha ya kiswahili. Maelezo niliyoyatoa nimeeleza unaposema "intern doctor ina maanisha nini.

Pili, mfumo wetu wa kufundisha madakatari ni tofauti na mfumo wa marekani ndio maana dictinary hiyo uliyotumia imezungumzia aina mbili za "intern number" one na "number two".mhhhhhh! Soma vizuri dictionary

hapa tanzania kuna "interns" peke yake ambaye ni mhitimu wa shahada ya udaktari anayefanya mafunzo ya kazi hospitalini mara tu baada ya kuhitimu kwa nia ya kupata uzoefu=(experince) na kupata vigezo -(qualification)vya usajiri katika baraza la madaktari tanzania.

narekbisha ,doctor ni daktari,ila nawewe umechemka hivi oxford dictionary ni ya marekani? Oxford dictionary inafafanu english language as american language na english language as first internaional language so ukisema interns in american english haimaanishi inatumika marekani tuu mkuu.tatizo lako unaonekana ni msomi ila utaki kukubali kwamba kuna wasomi wanaoweza kukuzidi hoja hii ndiyo jamiiforum wakati mwingine inabidi ukubali kujifunza sio kila wakati unataka kufundisha tu. Rudia maana ya pili inasema interns ni "student or trainees" sasa wewe umetumia trainees same tine unapinga eti sio student kitu ambacho si sahihi
 

narekbisha ,doctor ni daktari,ila nawewe umechemka hivi oxford dictionary ni ya marekani? Oxford dictionary inafafanu english language as american language na english language as first internaional language so ukisema interns in american english haimaanishi inatumika marekani tuu mkuu.tatizo lako unaonekana ni msomi ila utaki kukubali kwamba kuna wasomi wanaoweza kukuzidi hoja hii ndiyo jamiiforum wakati mwingine inabidi ukubali kujifunza sio kila wakati unataka kufundisha tu. Rudia maana ya pili inasema interns ni "student or trainees" sasa wewe umetumia trainees same tine unapinga eti sio student kitu ambacho si sahihi

Mie wala sijasema popote kwamba neno "interns" halitumiki sehemu zingine duniani. Lakini pia si duniani kote linatumika, ndio maana Oxford dictionary ikasema " in american english" kwa kuwa Uingereza kwa waingereza hawatumii hilo neno kwenye progran inayofanana na hiyo.

Pili, mie sijajigamba humu kwamba hakuna mtu au hakuna msomi mwingine yeyote anayenizidi kwa kutoa hoja. Hizi ni hoja zako ambazo si sehemu ya mjadala.
 
Ngoja nikupe tofauti ya haya maneno, nitatumia maneno ya kiingereza:

1. Medical student(s) huyu ni m(wa)nafunzi anayesomea udaktari (wa meno au wa jumla) kwa maana kwamba bado yuko chuoni anasoma na hajahitimu, anaweza kuwa mwaka wa kwanza au wa tano.

2. Intern doctor(s) huyu ni daktari aliyekwisha hitimu na kutunukiwa shahada ya udaktari na anatumikia kipindi cha lazima cha mwaka mmoja mafunzoni akiwa chini ya uangalizi wa madaktari bingwa kabla hajasajiriwa rasmi na kutambulika kama daktari kwa mujibu wa sheria.

3. Resident doctor (s) huyu ni daktari aliyesajiriwa na yuko mafunzoni kwa ajili ya kusomea umahili (specialization) katika fani za tiba.

Si sahihi kumwita intern doctor kuwa ni mwanafunzi bali unaweza kumwita "trainee doctor" au daktari aliye mafunzoni. Kimsingi ni daktari, ila bado hajasajiliwa ndio maana yuko mafunzoni (mafunzo kazini), na sio mafunzo shuleni.


narekbisha ,doctor ni daktari,ila nawewe umechemka hivi oxford dictionary ni ya marekani? Oxford dictionary inafafanu english language as american language na english language as first internaional language so ukisema interns in american english haimaanishi inatumika marekani tuu mkuu.tatizo lako unaonekana ni msomi ila utaki kukubali kwamba kuna wasomi wanaoweza kukuzidi hoja hii ndiyo jamiiforum wakati mwingine inabidi ukubali kujifunza sio kila wakati unataka kufundisha tu. Rudia maana ya pili inasema interns ni "student or trainees" sasa wewe umetumia trainees same tine unapinga eti sio student kitu ambacho si sahihi

Duh! Kumbe computer haikufanyi uandike hoja nzuri na wala usiwe na mwandiko mzuri. Sikujua. Hebu fananisha hao wawili, yupi ana akili!!!
 
Hivi kuitwa daktari mwanafunzi ni moja kati ya matatizo ya madaktari wetu??????
wewe huoni kwamba ni tatizo?kauli ya waziri wa afya inaweza kuondoa tamko la jopo la maprofesa waliosema
huyu mtu ni daktari.jaribu kuwa great thinker
 
aya tumalize ubishi INTERNS=MADAKTARI=MA SPECIALIST=MATABIBU KILICHOBAKI DAI HAKI ZENU BILA KUGOMA THIS TIME AROUND UKIGOMA AMRI YA RAISI NI SAWA NA UHAINI NA KITAKACHOFUATA NI KUWATIMUA KAZI MADAKTARI WOTE KAMA WALIVYOFANYA KENYA KITU AMBACHO MHE DK KIKWETE AKA JEMBE ATAKI TUFIKE APO
 
wewe huoni kwamba ni tatizo?kauli ya waziri wa afya inaweza kuondoa tamko la jopo la maprofesa waliosema
huyu mtu ni daktari.jaribu kuwa great thinker

kwani jopo la maprofesa kazi yao kutafsiri lugha ya interns ni wanafunzi au madaktari?
Nini maana ya interns kwa kiswahili ?si inarudi palepale ni wanafunzi
 
Kwa kweli kama ni lugha umefeli vibaya sana. Huwezi kusema maana ya doctor = dactari (daktari), kwa hiyo ukiulizwa daktari maana yake ni nini utajibu kuwa ni doctor?. Hapo hujatoa maana ila umetoa tafsiri ya neno la kiingereza doctor kwa lugha ya kiswahili. Maelezo niliyoyatoa nimeeleza unaposema "intern doctor ina maanisha nini.

Pili, mfumo wetu wa kufundisha madakatari ni tofauti na mfumo wa marekani ndio maana dictinary hiyo uliyotumia imezungumzia aina mbili za "intern number" one na "number two".

Hapa Tanzania kuna "interns" peke yake ambaye ni mhitimu wa shahada ya udaktari anayefanya mafunzo ya kazi hospitalini mara tu baada ya kuhitimu kwa nia ya kupata uzoefu na kupata vigezo vya usajiri katika baraza la madaktari Tanzania.

wote mmechemka kiswahili cha doctor,doctor ni kiswahili chake ni tabibu wakuu.
 
Kwani kuitwa mwanafunzi ni matusi? Wabongo bana sijui arrogance hii wanaitoa wapi wakati hata consultant mwenyewe kuna vitu havijui inabidi akapate shule na kipindi anapata shule anaitwa nwanafunzi!
 
"aya tumalize ubishi INTERNS=MADAKTARI=MA SPECIALIST=MATABIBU KILICHOBAKI DAI HAKI ZENU BILA KUGOMA THIS TIME AROUND UKIGOMA AMRI YA RAISI NI SAWA NA UHAINI NA KITAKACHOFUATA NI KUWATIMUA KAZI MADAKTARI WOTE KAMA WALIVYOFANYA KENYA KITU AMBACHO MHE DK KIKWETE AKA JEMBE ATAKI TUFIKE APO" ................kaka upo nyuma kimtindo, huko kenya walikuwa manesi, na hata hivyo wamekengeuka waliotoa tamko au jazba hilo
 
Nafikiri kwa ninavyoelewa mie.

Mwanafunzi ni mtu yeyote anayejifunza, si lazima uwe darasani, ninaweza kuwa na wanafunzi wangu ktk kuwinda tembo. Regardless nini, kama unafundishwa bado ni mwanafunzi.

Hata mwalimu anaweza kuwa mwanafunzi. Siku moja mtakuja kutuambia Rais ni neno ambalo mpaka uwe mkuu wa nchi ndo uitwe rais.
 
Back
Top Bottom