naona sas hivi hili tatizo ni kubwa .... wengi humu yaonyesha wana mitaji midogo na ya kati lakini wanamapungufu ya kukosa wazo zuri la biashara ... nini kifanyike wana jf-entrepreneurs
je? kuna uwezekano kwa walio na mitaji lakini hawana wazo la biashara wakaungana na walio na wazo la biashara lakini hawana mitaji?
changamoto hii ni kubwa
Ukipekua pekua post zilizotangulia utakutana na haya unayoyahitaji kwani yameshajadiliwa sana hapa. Kila la heri mkuuWakuu, ninao mtaji wa sh.milioni kumi. Nataka nianze biashara hapa Sinza. Naomba ushauri wenu tafadhali. Nimetafakari nifanye biashara gani nimeshindwa kujua ipi itanilipa kwa kiasi hicho kidogo nilichonacho. Asanteni.
Wakuu, ninao mtaji wa sh.milioni kumi. Nataka nianze biashara hapa Sinza. Naomba ushauri wenu tafadhali. Nimetafakari nifanye biashara gani nimeshindwa kujua ipi itanilipa kwa kiasi hicho kidogo nilichonacho. Asanteni.
mimi nakuomba kama suluhu ouwe na urafiki na mkenya utapata maarifa mengi sana ya biashara na utanawili