Eti, haiwezekani wakatolewa hadharani kwa wananchi wenye hasira kali wakamaliza game? mbona vibaka wa simu na kuku huwa wanakutana na wananchi wenye hasira kali? hawa vipi hawaingii kwene category hii? laiti wezi wa kuku nao na wale wa simu wangekuwa wanachunguzwa na Takokuru haki ingepatikana bila ya ncha ya upanga
Elli,
Kwani ni nani anaowaleta hadharani haoo vibaka?! Wanaletwa na polisi, mahakama, au?!
TAKUKURU hawawezi kufanya hivyo, ila mimi na wewe tunaweza! TAKUKURU ni kansa, ni kansa isiyotibika iwe kwa mionzi ya X-Ray wala Gamma rays. Tiba dhidi ya TAKUKURU ni kukata kiungo kizima kilichoathirika! Kansa nyingine ni DPP, nae ni kansa mbaya na hatari kabisa kwa mustakabali wa taifa hili. Nayo ni kansa ambayo tiba yake ni kuondolewa kwa kiungo kizima! Kama kweli mtu amekutwa na Vogue 2 na mwingine amesafirisha benz kwa air cargo, yanini basi hadi leo hawajafikishwa mahakamani?! Mwizi akikamatwa tu, jambo la kwanza ni polisi ni siku chache baadae mahakamani ndipo anapotolewa kwa dhamana! Hawa tayari wana sifa zote za kufikishwa mahakamani......wapewe dhamana huko wakati uchunguzi zaidi ukiendelea! Lakini kwa HOssea huyu na mwenzake Feleshi yule yule, basi hamna lolote hapo la maana! Kesi sita kubwa za ufisadi ambazo Hossea alikuwa anazihubiri sijui zimeishia wapi!
Edward Hossea ni kansa. DPP ni kansa. DCI ni kansa pia! Madubashwa haya hayapo tayari kulinda maslahi ya walio wengi kwavile tu wamekata shauri la kujipendekeza kwa mabwana zao. Kama Al-Qaeda wangeweza kulipua TAKUKURU, Idara Ya Mashitaka ya Umma (chini ya DPP) na kisha kuwazuru watendaji wao wakuu; basi wala nisingeumizwa na shambulio hilo nchini mwetu.
Mbaya zaidi, wakina Mkulo wenyewe wanalindwa vizuri na dubwana na chinja chinja lingine linaloitwa Utawala Bora!! Utawala BOra ndani ya jamii yenye ukosefu mkubwa wa maadili....jamiii iliyojaa wezi, mafisadi, wala rushwa, wazinzi, wafiraji, wakosefu wa uwajibikaji! Utawala bora ndani ya jamii ambayo hata viongozi wake wa kiroho nao ni wezi, wazinzi, wala rushwa, mafisadi, wafiraji, wauza mihadarati na uchafu mwingine wote!
Siwezi kutarajia lolote la maana toka hapo!! Wenye uchungu na nchi hii tupiganie KATIBA YA KIDIKTETA. Katiba ya Kidikteta ambayo itafuta WESTERN GOOD GOVERNANCE na kuingiza APPROVED DICTATORSHIP GOVERNANCE. Ni katiba ya aina hiyo inayopaswa kuongoza jamii ya kifedhuli kama yetu. Tuwenayo angalau kwa miaka 20 ili iweze kuwarudisha mafedhuli kwenye mstari wa uungwana.